Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Man you talk too much. Better behave urself.Chelsea ina wachezaji mahiri kibao, cjui nani aliyetoa wazo la kumleta huyo kocha darajani.
Haya ss kashachafua CV ya UK kuingiza timu 4 fainali[emoji30]
Hii ni nusu fainali lazima timu pinzani ionyeshe changamoto siyo kazi rahisi mkuu. Pia timu ina majeruhi kwa hiyo kikosi kinabadilika kidogo pamoja matatizo yanafahamika siyo game ya leo ndio iwe sehemu ya kukosoa mpaka iwe kero sasa, na hivyo bado hujafurahia tumeingia fainali.?