Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kila siku lina plan A tu na ikishafeli ndiyo basi tena, nawaambia ukweli hata hiyo top 4 ni juhudi binafsi za wachezaji kujituma lkn siyo Kocha[emoji851]
Mda gani?

Kocha hajuagi umuhimu wa match huyu,hana plan yoyote mbinu zake ni zile zilw, approach za game ni zile zile yani bora hata mchezaji ajitolee kuwa kocha sio huyo punguani
 
Hyo fainali hata sito angalia labda zola apa ge kikosi...auba na lacca mmmmmh
 
Ile moja imedondokea miguuni mpaka akabaki anashangaa!
Hapana mkuu aliiona yeye akabana miguu mpira ukanata. Ukiangalia replay kuttoka nyuma ya goli inaonyesha vizuri kwamba Kepa aliuona huo mpira unakuja katikati ya miguu yake akabana off course alibahatisha kwa sababu mpira ulikuwa kwenye kasi ila penalty zote hua inaokolewa kwa kubahatisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom