Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nawaambiaga siku zote kuwa Sariball inatukosti sana Chelsea, haya ss dkk 120 hizo cjui kwanini Ollachuga anajifanyaga ana makengeza kuhusu hili
 
Yan unatamani hata uliendee nyumban kwake ulifunge kamba ulitandike viboko usiku kucha....
 
Shida nin mkuu? Cha muhimu tuzidi kumuamin kocha..tumpe muda zaidi
Mda gani?

Kocha hajuagi umuhimu wa match huyu,hana plan yoyote mbinu zake ni zile zilw, approach za game ni zile zile yani bora hata mchezaji ajitolee kuwa kocha sio huyo punguani
 
Mda gani?
Kocha hajuagi umuhimu wa match huyu,hana plan yoyote mbinu zake ni zile zilw, approach za game ni zile zile yani bora hata mchezaji ajitolee kuwa kocha sio huyo punguani
😂😂😂 mkuu poleee..ume-mind sana....kwasaiv haiwezekani Odoi awe kocha. Na vile tena Mmiliki hatoi sauti saiv, lazima timu itifuane kuliko united ilivy
 
Chelsea ina wachezaji mahiri kibao, cjui nani aliyetoa wazo la kumleta huyo kocha darajani.

Haya ss kashachafua CV ya UK kuingiza timu 4 fainali[emoji30]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom