SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Mkuu ban imekataliwa kwa hiyo hatutasajili. Higuain siyo striker wa kumtegemea ukidhani atakua keshapata experience. Hakuna namna zaidi ya kumrudisha Tammy au Batshuayi. Halafu ni kweli Azpi anahitaji backup kwa hiyo RJ ni chaguo sahihi na kwa sasa tunahitaji sana kutumia academy graduates ili tujifunze vizuri.Kwa maoni yangu
Azpilicueta anahitaji backup sio replacement, RJ anaweza kuwa backup yake.
Azpilicueta anachoka sana kwa sababu anacheza bila kupumzika, rekodi zinaonyesha kuwa
Azpilicueta is one of the best RB in EPL, kudrop form ni kawaida hasa kwa mchezaji asiyepumzishwa., Bakayoko not fitted at all in English footaball, wache aendelee kufanya vizuri huko Roma. Kuhusu Jorginho kama ban itaendelea kuwepo, Kovacic anaweza kabisa kuimudu hiyo nafasi na amashafanya hivyo kwa baadhi ya mechi. Backup wa RLC na Kante ni muhimu kwa ajili ya majeruhi na kupumzisha. Kama Odoi atasisitiza kuondoka huyu jamaa anayeitwa Ryan Fraser ni mzuri sana kwa winger wa kushoto au attacking MF wa kushoto. Kule mbele mkopo wa Higuaín uongezwe naona msimu ujao atakuwa ameijulia EPL ila kama ban itaondolewa tunahitaji strikers wa kaliba ya Drogba na Diego Costa.
Ndio mimi naona ivyo. Hakuna namna nyingine hapo.Mkuu sis Bado tuna kikosi finyu sana ..hasa ukizingatia na hazard naye anasepa ..sasa naona kwa mahesabu ya haraka wale madogo wa kwa mkopo warudishwe tukubali kuwa kama arsenal kuchrza nao tu...
Ross Barkley simkubali kabisaa ana mpira wa Pogba, mpiria wa kunata nata sana.
Mkuu ban imekataliwa kwa hiyo hatutasajili. Higuain siyo striker wa kumtegemea ukidhani atakua keshapata experience. Hakuna namna zaidi ya kumrudisha Tammy au Batshuayi. Halafu ni kweli Azpi anahitaji backup kwa hiyo RJ ni chaguo sahihi na kwa sasa tunahitaji sana kutumia academy graduates ili tujifunze vizuri.
Sijui kwa nini bado hamumuamin Bakayoko kwa sababu kwa jinsi alivyo sasa naona anafit sana kuwa backup ya Jorginho.
hivi hii ban itawahisisha na wale wachezaji tuliowachukua kwa mkopo mfano Kovacic, tunaweza wasajili tena?Mkuu ban imekataliwa kwa hiyo hatutasajili. Higuain siyo striker wa kumtegemea ukidhani atakua keshapata experience. Hakuna namna zaidi ya kumrudisha Tammy au Batshuayi. Halafu ni kweli Azpi anahitaji backup kwa hiyo RJ ni chaguo sahihi na kwa sasa tunahitaji sana kutumia academy graduates ili tujifunze vizuri.
Sijui kwa nini bado hamumuamin Bakayoko kwa sababu kwa jinsi alivyo sasa naona anafit sana kuwa backup ya Jorginho.
Hatuwezi kusajili kabisa. Ila kama timu itamuhitaji zaidi anaweza kuongezewa muda wa mkopo then akaja kusajiliwa ban itakapoisha.hivi hii ban itawahisisha na wale wachezaji tuliowachukua kwa mkopo mfano Kovacic, tunaweza wasajili tena?
Jaribu kumfatiliaBakayoko?
Download live football tv kwenye play store.Link ya kuchek mechi wadau
Arsenal 3 mpaka sasaMbn uvivu mwingi humu? Mtupe updates ya mech yenu. Mnatakiwa mcheze na jiran wakat cc tunajipanga na europa next sizoni
😂😂wabongo....naomba matokeo ya jirani yakoArsenal 3 mpaka sasa
[emoji23][emoji23]wabongo....naomba matokeo ya jirani yako