Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Watu wanasema DeGea error, mimi nasema sio error, namtetea DeGea
Lile shuti la Rudiger lilikuwa linaserereka 700KM/hr au 200M/second au kuweka sawa zaidi katika mita 40 ilitumia miliseconds 200 hivi.. Asingelizuia hivyo alivyofanya lingeingia ndani kiurahisi. Hata attempt ya kupangua lingezama maana speedi ilikuwa ni kubwa
 
1083794
 
Umenikumbusha Chelsea ya akina Michael Ballack hadi natamani kulia kwa jinsi ilivyokuwa bora
Watu wanasema DeGea error, mimi nasema sio error, namtetea DeGea
Lile shuti la Rudiger lilikuwa linaserereka 700KM/hr au 200M/second au kuweka sawa zaidi katika mita 40 ilitumia miliseconds 200 hivi.. Asingelizuia hivyo alivyofanya lingeingia ndani kiurahisi. Hata attempt ya kupangua lingezama maana speedi ilikuwa ni kubwa
 
Sijawahi kumchukia kocha yeyote Chelsea. Lakini this time imenibidi nimchukie masigara kuliko chochote.
 
Hana akili hiyo. Amekuja Chelsea kumwaribia Kante tu basi

Hivi kwa nini jorg asicheze anapocheza Kante na Kante akacheza alipozoea

Huyu sarri hata kujaribu tu hawezi

Hayo yote ni matokeo ya kuwa munatizama Ligi ya Bongo na EPL tu.

Wazee hebu tanueni vichwa vyenu muufahamu mchezo wa football vizuri. Jorginho ni CM na position anayocheza inatakiwa iwe na CM na Kante ni Dm hawezi kucheza pale.
 
Tatizo lipo ktk bodi ya usajili, mfano Sari haendani kabisa na philosophy ya Chelsea na hata kihistoria hajawahi kuchukua kombe lolote lile, hajawahi kufundisha klabu kubwa yoyote ile, so waliomleta darajani hawakuwa vzr kiuchunguzi kwa CV zake Sari Masigara.

Tatizo lipo kweli kwa bodi mkuu. Sarri anafundisha football, na Chelsea wemezoea kucheza Rugby
 
Makocha wapo wengi sana tu Kaka, yupo Kocha wa Ajax, yupo Kocha wa Wolves ambapo Tajiri akiweka mpunga wa maana akimng'oa mmojawapo atailetea Chelsea mafanikio tele.

Mafanikio masihara?

Rome HAIKUJENGWA KWA SIKU MOJA.
Ni msemo mashuhuri huo. mnaleta kocha ndani ya mwaka mmoja mnataka amalize makombe yote kubeba?
 
Luiz ni mzito japo bado anahitajika Chelsea kwa sasa hatuna mzuri Zaidi yake, huwezi kumuweka pale Carhill labda Christiansen. Kiujumla Chelsea sio wazuri kwenye blocking, wangekuwa Burney lile lisingekuwa goli

Na ndio mana mnaambiwa kuwa timu ni mbovu, ila wengi mnamtolea povu kocha.

Huwezi pata mafanikio kwa kumtegemea Luiz tena huyu wa sasa awe ndio center back wako.
 
Chelsea ina hizo CV tangu atue Mourinho pale darajani, tatizo ni kuwa Kocha wa ss hv huwa hana plan B hata kama timu imeshakwama ni 4-4-3, ss kwanini usitegemee kufeli kila siku?
Mafanikio masihara?

Rome HAIKUJENGWA KWA SIKU MOJA.
Ni msemo mashuhuri huo. mnaleta kocha ndani ya mwaka mmoja mnataka amalize makombe yote kubeba?
 
Chelsea ina hizo CV tangu atue Mourinho pale darajani, tatizo ni kuwa Kocha wa ss hv huwa hana plan B hata kama timu imeshakwama ni 4-4-3, ss kwanini usitegemee kufeli kila siku?

Mkuu unatizama interview za Sarri?

Kashalieka wazi hilo yeye hajaja kupark basi pale. Chelsea wamemsaini baada ya kuona kazi yake anayofanya nayeye kajia kazi yake. Kwaiyo kuwa plan a inasumbua suluhisho sio kuleta plan B bali ni kuzidi kuifanyia kazi plan A mpaka isimame.
Chelsea wana matatizo sana kuanzia Bodi yao pamoja mashabiki wao, na ndio mana wamekua hawadumu na makocha.
Binafsi sijaona baya lolote la Sarri mpaka muda huu.
Unakumbuka msimu wa Klop wa mwanzo Liverpool ulivokuawa? Msimuwa Mwanzo Pep pale City ulivokuwa? mbona hawakufukuzwa? kwasababu Team ilibeleave in them na hawakuwa na papara nao. Lakini Chelsea wanataka kombe kwa lazima, Spending yenyewe ndogo, City wanaspend karibu 200 kila season unafikri utashinda nao kirahisi tu? Team imejaa washup players ambao washachoka mno.
 
Mkuu unatizama interview za Sarri?

Kashalieka wazi hilo yeye hajaja kupark basi pale. Chelsea wamemsaini baada ya kuona kazi yake anayofanya nayeye kajia kazi yake. Kwaiyo kuwa plan a inasumbua suluhisho sio kuleta plan B bali ni kuzidi kuifanyia kazi plan A mpaka isimame.
Chelsea wana matatizo sana kuanzia Bodi yao pamoja mashabiki wao, na ndio mana wamekua hawadumu na makocha.
Binafsi sijaona baya lolote la Sarri mpaka muda huu.
Unakumbuka msimu wa Klop wa mwanzo Liverpool ulivokuawa? Msimuwa Mwanzo Pep pale City ulivokuwa? mbona hawakufukuzwa? kwasababu Team ilibeleave in them na hawakuwa na papara nao. Lakini Chelsea wanataka kombe kwa lazima, Spending yenyewe ndogo, City wanaspend karibu 200 kila season unafikri utashinda nao kirahisi tu? Team imejaa washup players ambao washachoka mno.
Haya wazee wa imani imara kuhusu Sari Masigara, tukumbuke kuwa top 4 hatuioni wala kombe la EUROPA hatuwezi kabisa kubeba, endeleeni kujificha ktk kivuli cha uvumilivu
 
Bado nawakumbusha tu kwa Sari Masigara Chelsea ni sawa na kuchukua kombe akimaliza yuko ktk top 4 epl.
Uwezekano upo ndugu tena Mkubwa sana. Sisi Man U ndo tushapoteana kwa asilimia 99. Sema kwa mechi zilizosalia hapa wachezaji walitakiwa kucheza kwa ajili yao zaidi na kuhakikisha wanafia uwanjani kwa ajili ya top four na mambo ya makosa ya Mwl wayaweke kando kwanza. Tatizo liliopo kwa Chelsea ndo hilohilo lipo kwa Man U
 
Naheshimu mawazo yako lkn tuombe tu uzima ili usije kupingana na hii kauli yako Chifu.
Uwezekano upo ndugu tena Mkubwa sana. Sisi Man U ndo tushapoteana kwa asilimia 99. Sema kwa mechi zilizosalia hapa wachezaji walitakiwa kucheza kwa ajili yao zaidi na kuhakikisha wanafia uwanjani kwa ajili ya top four na mambo ya makosa ya Mwl wayaweke kando kwanza. Tatizo liliopo kwa Chelsea ndo hilohilo lipo kwa Man U
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom