Mkuu unatizama interview za Sarri?
Kashalieka wazi hilo yeye hajaja kupark basi pale. Chelsea wamemsaini baada ya kuona kazi yake anayofanya nayeye kajia kazi yake. Kwaiyo kuwa plan a inasumbua suluhisho sio kuleta plan B bali ni kuzidi kuifanyia kazi plan A mpaka isimame.
Chelsea wana matatizo sana kuanzia Bodi yao pamoja mashabiki wao, na ndio mana wamekua hawadumu na makocha.
Binafsi sijaona baya lolote la Sarri mpaka muda huu.
Unakumbuka msimu wa Klop wa mwanzo Liverpool ulivokuawa? Msimuwa Mwanzo Pep pale City ulivokuwa? mbona hawakufukuzwa? kwasababu Team ilibeleave in them na hawakuwa na papara nao. Lakini Chelsea wanataka kombe kwa lazima, Spending yenyewe ndogo, City wanaspend karibu 200 kila season unafikri utashinda nao kirahisi tu? Team imejaa washup players ambao washachoka mno.