Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu sarri kwann kamweka eden hazard nje?

Hivi anatutafuta nini huyu teja
 
Screenshot_20190502-212654.jpg
 
Hii mechi leo ilikua inamfaa sana Kova. RLC anafaa sana kucheza na Hazard combination yao inavutia kwa kuzingatia wanaunganisha vizuri kiungo na ushambuliaji.

Sema Sarri anajua kuliko sisi. Ngoja tusubiri tuone
 
Tukiendelea kumkumbatia huyu zari boss lady basi kuna dalili timu yetu ikawa level za kina Everton miaka yote
 
Oya vp tena.
Mbona mnazingua hv.
Hazard yupo wap.?
Au ndo mambo ya kikosi kipana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom