Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Najuwa unamzungumzia Wolves lakini Kumbuka kuwa Wolves anakuja Anfield ambapo takriban Misimu miwili sasa nimekuwa Nikifanya Vizuri pale Anfield.
Hawezi kuchomoka.

First round nilimpiga 2 kwa 0 pale uwanjani pake ambako ni pagumu kupata matokeo kwani hata City alishindwa kupata matokeo
Mkuu Wolves kwa sasa wamekuwa wamoto sana. Sidhani kama iyo gemu itakuwa rahis kiivyo ..japo huwezekano wa kushinda upo upande wenu lakini naona Wolves wanaeza badilisha upepo...
 
Mpaka Sari atapotimuliwa ndipo tutaporudi ktk ubora wetu Chelsea, la sivyo tutakuwa tunatembea kisiasa siasa kila siku bila mafanikio yoyote yale.
Mkuu unaona kocha anayefaa kuifunza Chelsea endapo Sarri atatimuliwa..

Btw mim bado naona kama anafaa koz ni msimu wake tu wa kwanza ..so wait tuone atafanikiwa vip na mfumo wake ..japo Chelsea haiamini sana mipango ya muda mrefu wa makocha wengi..
 
Hivi kwa nini jorg asicheze anapocheza Kante na Kante akacheza alipozoea

Huyu sarri hata kujaribu tu hawezi
 
Hivi kuna mtu bado ana imani na David Luiz.? Ule mpira ulimshinda vip kuuzuia.
Luiz ni mzito japo bado anahitajika Chelsea kwa sasa hatuna mzuri Zaidi yake, huwezi kumuweka pale Carhill labda Christiansen. Kiujumla Chelsea sio wazuri kwenye blocking, wangekuwa Burney lile lisingekuwa goli
 
Dah Herrera alitakiwa àwe na njano mbili mpaka sasa ..Huyu refaree hana tofauti na yule aliyetoa penalty mbili kwa Simba dhid ya KMC Alliance..
Njano ya Willian ni uamuzi wa kijinga sana refa kafanya kwa sababu softly Wilian aliwin mpira , Pia Marcos Rojo alistahili direct Red kwa kumminya Willian na kumsababisha ashindwe kuendelea, badluck leo Willian kaonewa sana na ndio maana VAR ni muhimu EPL
 
Kwa mechi mbili zilizobaki mmh. Arsenal anarudi kwenye nafasi yake ya sita, take my word

Msimamo mpya utakuwa kama ifuatavyo
  1. Man City 98
  2. Liverpool 97
  3. Spurs 74
  4. Chelsea 72
  5. Man United 71
  6. Arsenal 70
 
Mkuu Wolves kwa sasa wamekuwa wamoto sana. Sidhani kama iyo gemu itakuwa rahis kiivyo ..japo huwezekano wa kushinda upo upande wenu lakini naona Wolves wanaeza badilisha upepo...
Liverpool wanaweza kushinda kwa asilimia kubwa ila Wolves kwenye counter attack wako 99% kwenye EPL, wana uwezo wa kutumia vyema minimal chances wanazozipata
 
Mkuu unaona kocha anayefaa kuifunza Chelsea endapo Sarri atatimuliwa..

Btw mim bado naona kama anafaa koz ni msimu wake tu wa kwanza ..so wait tuone atafanikiwa vip na mfumo wake ..japo Chelsea haiamini sana mipango ya muda mrefu wa makocha wengi..
Makocha wapo wengi sana tu Kaka, yupo Kocha wa Ajax, yupo Kocha wa Wolves ambapo Tajiri akiweka mpunga wa maana akimng'oa mmojawapo atailetea Chelsea mafanikio tele.
 
Tatizo lipo ktk bodi ya usajili, mfano Sari haendani kabisa na philosophy ya Chelsea na hata kihistoria hajawahi kuchukua kombe lolote lile, hajawahi kufundisha klabu kubwa yoyote ile, so waliomleta darajani hawakuwa vzr kiuchunguzi kwa CV zake Sari Masigara.
Mkuu unaona kocha anayefaa kuifunza Chelsea endapo Sarri atatimuliwa..

Btw mim bado naona kama anafaa koz ni msimu wake tu wa kwanza ..so wait tuone atafanikiwa vip na mfumo wake ..japo Chelsea haiamini sana mipango ya muda mrefu wa makocha wengi..
 
Watu wanasema DeGea error, mimi nasema sio error, namtetea DeGea
Lile shuti la Rudiger lilikuwa linaserereka 700KM/hr au 200M/second au kuweka sawa zaidi katika mita 40 ilitumia miliseconds 200 hivi.. Asingelizuia hivyo alivyofanya lingeingia ndani kiurahisi. Hata attempt ya kupangua lingezama maana speedi ilikuwa ni kubwa
 
Hivi goli alilofunga Alonso assist ilikuwa ya nani vile!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom