interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Yani kile alichokifanya Man City ndicho kinachotakiwa kwa Man U, Arsenal na Chelsea, mbali na hapo ni maumivu ya mbele kwa mbele tuHa ha ha ha haya, ila kiukweli hizi timu zinahitaji service za hali ya juu
