Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na ndio mana mnaambiwa kuwa timu ni mbovu, ila wengi mnamtolea povu kocha.

Huwezi pata mafanikio kwa kumtegemea Luiz tena huyu wa sasa awe ndio center back wako.
Kocha nae ni mbovu, mtu asiyekuwa na plan B unataka kumtetea. MOU na Conte wamechukua makombe kwa sababu ya plan B, strategies and tactics huyu ni mzee wa formation tu na sub zinazojulikana. Jana PEP alivyoona City wanalemewa akatoa striker akamuingiza defender. Sarri yeye ni winga kwa winga, MF kwa MF, Defender kwa defender, striker kwa striker ili asibadilishe formation yake pendwa
 
Kocha nae ni mbovu, mtu asiyekuwa na plan B unataka kumtetea. MOU na Conte wamechukua makombe kwa sababu ya plan B, strategies and tactics huyu ni mzee wa formation tu na sub zinazojulikana. Jana PEP alivyoona City wanalemewa akatoa striker akamuingiza defender. Sarri yeye ni winga kwa winga, MF kwa MF, Defender kwa defender, striker kwa striker ili asibadilishe formation yake pendwa
Safi sana, wakati mwingine Man City wakibanwa na formation yao ya 4-4-3 hutumia sana counter attacks kwa timu pinzani, jiulize sasa lini Sari Masigara alitumia counter attacks zaidi ya vipasi pasi viiingi kupitia Joginho visivyo na kichwa wala miguu
 
Kocha nae ni mbovu, mtu asiyekuwa na plan B unataka kumtetea. MOU na Conte wamechukua makombe kwa sababu ya plan B, strategies and tactics huyu ni mzee wa formation tu na sub zinazojulikana. Jana PEP alivyoona City wanalemewa akatoa striker akamuingiza defender. Sarri yeye ni winga kwa winga, MF kwa MF, Defender kwa defender, striker kwa striker ili asibadilishe formation yake pendwa

Hizo plan B ndizo zilizowafanya wakaboranga mbele ya safari. Football si msimu mmoja.
 
Ndio maana huwa nakaagaa kimya tuu mkuu, maana ukijitia mkuaji humu utaoga matusi tuu.

Mafanikio masihara?

Rome HAIKUJENGWA KWA SIKU MOJA.
Ni msemo mashuhuri huo. mnaleta kocha ndani ya mwaka mmoja mnataka amalize makombe yote kubeba?
 
Mkuu unatizama interview za Sarri?

Kashalieka wazi hilo yeye hajaja kupark basi pale. Chelsea wamemsaini baada ya kuona kazi yake anayofanya nayeye kajia kazi yake. Kwaiyo kuwa plan a inasumbua suluhisho sio kuleta plan B bali ni kuzidi kuifanyia kazi plan A mpaka isimame.
Chelsea wana matatizo sana kuanzia Bodi yao pamoja mashabiki wao, na ndio mana wamekua hawadumu na makocha.
Binafsi sijaona baya lolote la Sarri mpaka muda huu.
Unakumbuka msimu wa Klop wa mwanzo Liverpool ulivokuawa? Msimuwa Mwanzo Pep pale City ulivokuwa? mbona hawakufukuzwa? kwasababu Team ilibeleave in them na hawakuwa na papara nao. Lakini Chelsea wanataka kombe kwa lazima, Spending yenyewe ndogo, City wanaspend karibu 200 kila season unafikri utashinda nao kirahisi tu? Team imejaa washup players ambao washachoka mno.
Sarri mwenyewe kapaki mabasi mara ngapi. Ule mchezo wa kwanza wa City na Chelsea darajani Sarri kapaki mabasi.
Kuna aina mbili za defensive styles
Aggressive pressing - kuziba mianya ya mpinzani kucheza
Containment - kupaki mabasi

Kama wachezaji wako ni quality players, ukinyang'anywa mpira unafanya aggressive pressing
Ila kama wachezaji wako ni low quality inabidi upaki mabasi - containment styles
Ndio maana timu ndogo zikicheza na timu kubwa lazima zipaki mabasi na kucheza long balls au counter attack
City wakicheza na Chelsea kwa sababu ya quality players walionao city, Chelsea lazima wapaki mabasi hawataweza kufanya aggressive pressing labda kama mnataka kufungwa 10-0
Chelsea wakicheza na timu ndogo ndio hapo unaona Sarribal lakini Sarriball huwezi kuiona Chelsea wakicheza na City au Barcelona na hili sio tatizo la Sarri ni tatizo la quality players ambao wako Chelsea hata kabla Sarri hakuchukua timu
 
Hizo plan B ndizo zilizowafanya wakaboranga mbele ya safari. Football si msimu mmoja.
MOU na Conte hawakuboronga na Plan B. Plan B haimfanyi mtu aboronge vinginevyo hiyo sio plan B
Ugomvi na wachezaji ndio uliwaondoa na hio haitawafanya wasiwe makocha wazuri
 
Sarri mwenyewe kapaki mabasi mara ngapi. Ule mchezo wa kwanza wa City na Chelsea darajani Sarri kapaki mabasi.
Kuna aina mbili za defensive styles
Aggressive pressing - kuziba mianya ya mpinzani kucheza
Containment - kupaki mabasi

Kama wachezaji wako ni quality players, ukinyang'anywa mpira unafanya aggressive pressing
Ila kama wachezaji wako ni low quality inabidi upaki mabasi - containment styles
Ndio maana timu ndogo zikicheza na timu kubwa lazima zipaki mabasi na kucheza long balls au counter attack
City wakicheza na Chelsea kwa sababu ya quality players walionao city, Chelsea lazima wapaki mabasi hawataweza kufanya aggressive pressing labda kama mnataka kufungwa 10-0
Chelsea wakicheza na timu ndogo ndio hapo unaona Sarribal lakini Sarriball huwezi kuiona Chelsea wakicheza na City au Barcelona na hili sio tatizo la Sarri ni tatizo la quality players ambao wako Chelsea hata kabla Sarri hakuchukua timu

Tunarudi pale pale, Sarri kapaki Bass mechi ya Man City, kwakua hakua na njia nyengine ya kupambana nao. Kwaiyo alitumia plan B kwa special game. Lakini hawezi kutumia Plan B kwa mechi zote. Sasa nyie mnaotaka Plan B sijui mnataka plan B gani.
 
MOU na Conte hawakuboronga na Plan B. Plan B haimfanyi mtu aboronge vinginevyo hiyo sio plan B
Ugomvi na wachezaji ndio uliwaondoa na hio haitawafanya wasiwe makocha wazuri

Conte alitumia Plan B kwa kusolve matatizo ya Chelsea, Alikula vipigo mwanzo kabla kubadili mfumo. Lakini hiyo Plan B yake ilidumu kwa msimu mmoja tu, second season ikawa ni disaster. Na ndio mana akachafuana sana na uongozi wa timu kwa kushindwa kufanya usajili aliouhitaji.
 
Andy Gray on Hazard Replacement

"Crystal Palace star Wilfried Zaha could be the man who fills the void left by Eden Hazard"
“I think he’s a great talent, I really do think he’s a great talent.
“But I honestly believe Hazard will be almost irreplaceable.
“That’s the value he has been for Chelsea this year.”
 
Wakuu msimu ujao tumeruhusiwa kusajili au? Nmeona sehemu kama Chelsea wanamtaka Bale..
 
Leo tunapeperusha bendera wadau ushindi wa ugenini utatuondelea pressure mechi za epl
 
Wasi wasi wangu upo kwa beki pengo la rudiger yule dogo Christensen huwa anapwaya
Hapo ni kujaza viungo katikati hakuna namna. Wale jamaa wanapiga kabumbu si kidogo na wao watataka kumaliza mechi nyumbani.

Hapo leo ni kuanza na Kova, Jorginho na Kante. Mbele anaanza Giroud.
 
Wasi wasi wangu upo kwa beki pengo la rudiger yule dogo Christensen huwa anapwaya
Nikifikiria tu tulimuuza Ake Tumempeleka zuma everton bila sababu yoyote hapo kati wangekuwepo hawa vijana wawili tungekaa kwa password
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom