lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,704
- 25,938
Katika mechi nne zilizobaki mna uwezo wa kushinda mechi moja tu na droo moja ya pili bahati. Mnawafuata nyumbani kwao Mbwa Mwitu na Mbweha mnadhani hapo mtapona??Endelea kupiga ramli,tutaona mwisho wa msimu, tutakuja kufukua hili kaburi