lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,214
- 28,133
Ulaya hayo mambo hayapo bro. Kule sio Simba na Yanga. Watu wanaangalia impact ya ku qualify kwenda Ulaya wao kama team na sio kombe kwenda Liverpool.
Mashabiki ndio wanaona hivyo lakini uongozi wa club na wachezaji view point yao ni tofauti bro.
There's so much at stake.
1. Reputation ya club (as one of the elite clubs in Europe)
2. Financial impact (the amount of money the club will lose if you don't go to Europe).
3. OGS job is also at stake.
4. So much is at stake.
Tusubiri tuone kama kesho mkishinda mtamind au la [emoji16][emoji16]
Ndio nakwambia hivi mkuu, hatuna timu ya kupambana na City. Hata tukaze vipi lazima tutafungwa tu.
Ushindi Jumatano utaniumiza sana. Nataka City apate point tatu ila asitudhalilishe. Mambo ya kutupiga kama alivyomfanya Chelsea sio mazuri.
Ushindi Jumatano utaniumiza sana. Nataka City apate point tatu ila asitudhalilishe. Mambo ya kutupiga kama alivyomfanya Chelsea sio mazuri.