Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kwahiyo unabisha au unataka kusema shuti moja kwa kepa unapata goli 2?shuti mbili za wapi kwa nini unapenda dhambj za kujitakia acha .... Kijana shoot lilikuwa moja
Mm nimekwambia Burney walipiga on target mbili tu, zikatosha kuwapa goli 2,
Iwapo wangepiga 4, wangepata bao 4, maana golini pana pazia,