Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata aje kocha gani kwa kipa kepa mtakuwa mnarudishiwa magoli ,na huu ndio mwanzo wa cheltako kuwa kama zaman ilikuwa kama fulham
 
Cheltako mpo wapi ,wapuuzi nyie ,mlichonga sana Jana tulipofungwa, eti Leo mtashinda ,mkasahau golini MNA pazia LA pauni mil 71
 
Sasa hapa Man U kwa haya matokeo ya Chelsea, Arsenal na Spurs nafasi bado wanayo.

Kesho Man City hii mechi ni ngumu kwake. Tofauti na wengi mnavyowaza Man U hawezi kumlegezea City hata kidogo. There's so much at stake, there's so much to lose.

Kesho naona Man U wakishinda pale OT.

Ole's at the wheel. [emoji16]
Manyumbu watapigwa hadi wachakae

Halafu game ya man u na cheltako ,itakuwa game ya kuamua nan akae namba 5 na 6
 
Manyumbu watapigwa hadi wachakae

Halafu game ya man u na cheltako ,itakuwa game ya kuamua nan akae namba 5 na 6
Wewe game ijayo una Wolves alafu Leicester. Wote hawa wanatamani kucheza Europa na bado wana matumaini. [emoji23][emoji23][emoji23]

Ligi bado mbichi sana aseee. Msimu huu kuna tutakaolia na kucheka kwapamoja. [emoji16][emoji16]
 
Wewe game ijayo una Wolves alafu Leicester. Wote hawa wanatamani kucheza Europa na bado wana matumaini. [emoji23][emoji23][emoji23]

Ligi bado mbichi sana aseee. Msimu huu kuna tutakaolia na kucheka kwapamoja. [emoji16][emoji16]
Mkuu usichokijua ni hiki, emery alizingua upangaji kikos kwakuwa ana majeruhi pia, njoo uone show kwa hao wolves ,wanakufa mapema tu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom