Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ni sawa kwa sababu utabiri wangu ulichukulia ukweli kwamba Arsenal angeshinda mechi ya jana dhidi ya Crystal Palace
Sasa ana the maximum capacity ya pts 5+66 = 71

Michezi iliyobaki msimamo mpya

3 Spurs anaweza kuongeza pts 8 = 67+8 = 75
4 Chelsea anaweza kuongeza pts 8 = 66+8 = 74
5 Arsenal anaweza kuongeza pts 5 = 66+5 = 71
6 Man U anaweza kuongeza pts 6 = 64+6 = 70
Endelea kupiga ramli,tutaona mwisho wa msimu, tutakuja kufukua hili kaburi
 
Sasa hapa Man U kwa haya matokeo ya Chelsea, Arsenal na Spurs nafasi bado wanayo.

Kesho Man City hii mechi ni ngumu kwake. Tofauti na wengi mnavyowaza Man U hawezi kumlegezea City hata kidogo. There's so much at stake, there's so much to lose.

Kesho naona Man U wakishinda pale OT.

Ole's at the wheel. [emoji16]
Liverpool mnafurahisha sana. Sisi tunasema hatuna uwezo wa kuifunga City. Tutapigwa tu!
 
Mkuu usichokijua ni hiki, emery alizingua upangaji kikos kwakuwa ana majeruhi pia, njoo uone show kwa hao wolves ,wanakufa mapema tu,
Sawa mkuu kwasasa kila mechi naangali sitaki kuhadithiwa utamu huu maana ni mambo ya kihistoria haya huwa hayajirudii.

Ligi ya msimu huu imekuwa burudani sana. Kila mahali ni vita tu. Yani team ambazo hazina pressure ya aina yoyote ni 6 au 7 wengine wote 13 tupo kwenye vi battle vya aina tofauti tofauti.
 
Ni sawa kwa sababu utabiri wangu ulichukulia ukweli kwamba Arsenal angeshinda mechi ya jana dhidi ya Crystal Palace
Sasa ana the maximum capacity ya pts 5+66 = 71

Michezi iliyobaki msimamo mpya

3 Spurs anaweza kuongeza pts 8 = 67+8 = 75
4 Chelsea anaweza kuongeza pts 8 = 66+8 = 74
5 Arsenal anaweza kuongeza pts 5 = 66+5 = 71
6 Man U anaweza kuongeza pts 6 = 64+6 = 70
Yaani mechi 4 ,zilizobaki ,Arsenal aongeze point 4,? Subiri tutaona ,

Nawaambia kila siku mech ya manyumbu na cheltako ndio itaamua nan akae namba 5 na 6,

Namba 3 na 4 ni arsenal na tot ,hamuelewi
 
Arsenal ondoa ..yeye anaweza ongeza point tano tu kama siyo nne ..kesho kutwa jumatano anakalishwa..
Wewe Leo ulijitapa unaongeza point 3, matokeo yake umeongeza moja,

Jtano wolves anakufa,,

Mech yako naanyumbu mnasuruhu, Arsenal anashinda unaachwa point 5 clear,zinabaki mech 2 ligi iishe akili itakukaa sawa,

Hapo arsenal atakuwa anahitaji point 2 tu, usimfikie
 
Liverpool mnafurahisha sana. Sisi tunasema hatuna uwezo wa kuifunga City. Tutapigwa tu!
Ulaya hayo mambo hayapo bro. Kule sio Simba na Yanga. Watu wanaangalia impact ya ku qualify kwenda Ulaya wao kama team na sio kombe kwenda Liverpool.

Mashabiki ndio wanaona hivyo lakini uongozi wa club na wachezaji view point yao ni tofauti bro.

There's so much at stake.

1. Reputation ya club (as one of the elite clubs in Europe)

2. Financial impact (the amount of money the club will lose if you don't go to Europe).

3. OGS job is also at stake.

4. So much is at stake.

Tusubiri tuone kama kesho mkishinda mtamind au la [emoji16][emoji16]
 
Liverpool mnafurahisha sana. Sisi tunasema hatuna uwezo wa kuifunga City. Tutapigwa tu!

Mkiikosa UEFA mwakani mjiandae kukwepwa na wachezaji wakati wa dirisha la usajili na pia mapato yanashuka kwenu kwa zaidi ya pauni milioni mia( GBP 100+ million loss)
 
Ulaya hayo mambo hayapo bro. Kule sio Simba na Yanga. Watu wanaangalia impact ya ku qualify kwenda Ulaya wao kama team na sio kombe kwenda Liverpool.

Mashabiki ndio wanaona hivyo lakini uongozi wa club na wachezaji view point yao ni tofauti bro.

There's so much at stake.

1. Reputation ya club (as one of the elite clubs in Europe)

2. Financial impact (the amount of money the club will lose if you don't go to Europe).

3. OGS job is also at stake.

4. So much is at stake.

Tusubiri tuone kama kesho mkishinda mtamind au la [emoji16][emoji16]
Mkuu umeongea sana na kufafanua kwa msuli mkuuubwaaaaa... Sio kama tunapenda tufungwe tatizo uwezo ndugu yangu...kama Tumepigwa 4-0 na Everton at this stage unatarajia kwa City anayewania ubingwa atatufanya nini????Kwa hiyo unataka kusema hayo yote uliyodadavua wachezaji hawajui tumlalie dhaifu Everton?Tatizo uwezo,hatuna uwezo kwa dhaifu Everton tutaupata wapi kwa mbabe City??
 
Wewe Leo ulijitapa unaongeza point 3, matokeo yake umeongeza moja,

Jtano wolves anakufa,,

Mech yako naanyumbu mnasuruhu, Arsenal anashinda unaachwa point 5 clear,zinabaki mech 2 ligi iishe akili itakukaa sawa,

Hapo arsenal atakuwa anahitaji point 2 tu, usimfikie
Jana ulifia wapi Haji Manara wa Ase8[emoji87]
 
The fact is
The chelsea owner is not even allowed in england to operate his toy
 
Mkuu umeongea sana na kufafanua kwa msuli mkuuubwaaaaa... Sio kama tunapenda tufungwe tatizo uwezo ndugu yangu...kama Tumepigwa 4-0 na Everton at this stage unatarajia kwa City anayewania ubingwa atatufanya nini????Kwa hiyo unataka kusema hayo yote uliyodadavua wachezaji hawajui tumlalie dhaifu Everton?Tatizo uwezo,hatuna uwezo kwa dhaifu Everton tutaupata wapi kwa mbabe City??
Okay umeongea kitu cha muhimu pia. Ila kuna factor ambazo unatakiwa uelewe. This is football, anything can happen. Motivation matters.

Sababu za kuwa motivated ni pamoja na hizo nilizotaja hapo juu. Matokeo ya mnaofukuzana nao kwenye top four yamefanana so itawapa wachezaji (sio mashabiki) morale ya kupata points kwenye game ijayo ili wawe katika better position. Mengine nikiandika nitakuwa narudia ya huko juu.
 
Okay umeongea kitu cha muhimu pia. Ila kuna factor ambazo unatakiwa uelewe. This is football, anything can happen. Motivation matters.

Sababu za kuwa motivated ni pamoja na hizo nilizotaja hapo juu. Matokeo ya mnaofukuzana nao kwenye top four yamefanana so itawapa wachezaji (sio mashabiki) morale ya kupata points kwenye game ijayo ili wawe katika better position. Mengine nikiandika nitakuwa narudia ya huko juu.
Liver mnataka kusaidiwa kubeba ubingwa, hili jambo litawatesa hadi game ya mwisho city anapokabidhiwa ubingwa,

Sare za westham, man u mtazikumbuka sana
 
Jana ulipotelea wapi Arse8 baada ya kuchapwa na CP[emoji848][emoji57]
Wewe mshabik WA cheltako ,nan kwakwambia nilipotea, muulize ndugu yako ollachuga ,

Mimi sipoteagi,

Leo nipo hapa hadi asubuhi ,

Nawaeleza nafas ya 5 ni yenu ,mkibisha subirini may,

Europa emery kashasema kamaliza kazi, haiqezekan final tucheze na cheltako ,halafu kipa kepa, tushindwe kubeba ni aibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom