SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Utuliege usome ukaelewa. Nimeongelea mechi za mwisho kukutana na hao watu na sio.mkusanyo... toka mwaka huu (2019) umeingia umepigwa hiviMkuu hizi stats zako hazijakamilika. Naona umeweka nilizofungwa ili kuwachanganya watu. Man U tumetoka na draw ya 2-2 darajani akaja kunifunga 2-0 FA, Tot kanipiga kwake 3-1, darajani nimembabua 2-0, Liver kalazimisha draw ya 1-1 kwake Anfield, nikaja nikamfunga 2-1 Carabao Cup kwake, leo kanifunga 2-0. Ass Anal nimempiga darajani 3-2 nikaenda kwake kanifunga 2-0. Man City nimempiga 2-0 darajani, nikaenda kwake kanipa kipigo takatifu sina haja kukielezea.
Sasa sijajua hapo ulikua unazungumzia mechi zipi. Kamilisha stats zako usipende ku screenshot ili mradi umekuta tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tarehe 24/02 uliloose.kwa.penati kwa city
Tarehe 18/02 ulipigwa na manchester
Tarehe 10/02 ulikula 6 na city
Tarehe 19/01 ulipigwa na Arsenal
Tarehe 08/01 ulipigwa na tott
Leo umepigwa na Liverpool 2 - 0
.
.
Mechi uloshinda ni ya tott ya tarehe 24/01. Apart fr hapo mechi zako na top 5 umechezea!
Sent using Jamii Forums mobile app