Mkuu we acha tu. Nilitoa koment baada ya kuona line up kwenye group letu fulani la WhatsApp niliambulia matausi na kejeli kibao, Mara huo mfumo ndiyo alitumia kumfunga man City. Nikawaambia Hazard Sasa ivi yupo kwenye form Ni mzuri akicheza free football. Yaani akicheza nafasi yake anakuwa na positive impact kwa mpinzani
Na ushauri wangu ulionekana wa maana baada ya Huiguan KUINGIA kipindi Cha pili. Naaamni kabisa Sarri mafegi angeanza na striker angemaliza game kipindi Cha Kwanza.
But all in all ndiyo mchezo ulivyo.
Sent using
Jamii Forums mobile app