Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sitaacha kulalamika na huyu kocha wetu. Hakika anatunyima maisha tuliyoyazoea.

Sema tuvumilie maisha ya mpito. Nakubali nimefungwa kama ambvyo hata mimi namfunga. Hali yetu kwa sasa isiwe sababuya kufungwa kwetu. Tulikua na nafasi nyingi za kufanya mazuri ila tumefanya uzembe tu.

Sema goli la Salah zuri. Hatuwezi kumlaumu kipa. Pale anafungwa kipa yoyte yule na ubora wake. Hatukati tamaa, nafasi bado tunayo.

Up Blues

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kuongozi, first half vijanA walicheza kwa displine, sijui nn kiliwapata second half dakika za mwanzo wakaruhusu goli za haraka
 
Hapa ndipo mtanijua kuwa mi ni Mshabiki wa Chelsea anayejitambua.

Tangu tutundikwe 6-0 na Man City nilishajua kuwa tuna mfano wa timu bali siyo timu bora iitwayo Chelsea "The Blues".
Sarri OUT, msaada wake katika timu ni mdogo sana, matokeo yanaamuliwa na mchezaji mmoja mmoja ila sio kitimu


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom