Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi ni Sari in ila tusipotinga top four basi nitakubali aondoke

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hii kasumba ya kufukuza makocha in the future itatuweka mahala pabaya sana kwa sababu hakuna kocha atataka kufanya kaz na sisi kikubwa tumpe nafasi next season mbona yuko poa kama ivo inapandisha vijana na kuwapa more experience #sarri[emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa huyu kocha Chelsea Fans tunalo ndugu, kibaya zaidi Mzee Baba Mkubwa "Abrahamovich" kajiziria zamaaani kumtimua huyu Kocha kimeo[emoji26]
Sitaacha kulalamika na huyu kocha wetu. Hakika anatunyima maisha tuliyoyazoea.

Sema tuvumilie maisha ya mpito. Nakubali nimefungwa kama ambvyo hata mimi namfunga. Hali yetu kwa sasa isiwe sababuya kufungwa kwetu. Tulikua na nafasi nyingi za kufanya mazuri ila tumefanya uzembe tu.

Sema goli la Salah zuri. Hatuwezi kumlaumu kipa. Pale anafungwa kipa yoyte yule na ubora wake. Hatukati tamaa, nafasi bado tunayo.

Up Blues [emoji170][emoji170][emoji170]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea tatizo kuu ni Kocha, nakuhakikishia atashinda mechi 2 au 1 afu mbili atapigwa au atatoa droo, so tuna Mwanasiasa lkn si kocha bora.

UTHIBITISHO.

Angalia tu rekodi zake kabla hajahamia EPL kuifundisha Chelsea.
Mashabik hamkosagi mtu wakumuangushia lawama ,kama kupanga wachezaji mnaowatakaga kawapanga,

Kwanini Usi waapriciate liver kuwa wamecheza vzr,na utambue kuna viwanja ambavyo ni vigumu, kimoja wapo anfield,

Yohana 3:16

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabik hamkosagi mtu wakumuangushia lawama ,kama kupanga wachezaji mnaowatakaga kawapanga,

Kwanini Usi waapriciate liver kuwa wamecheza vzr,na utambue kuna viwanja ambavyo ni vigumu, kimoja wapo anfield,

Yohana 3:16

Wanafikiri kama zamani,anfield sasa pamekuwa pagumu sana ukishinda umepata droo.unaenda msimu wa pili huu Liverpool ajafungwa anfield.






Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Siyo kumfunga Liverpool tu, nawaahidi Mashabiki wezangu wa Chelsea tuwe tunakubali ukweli kuwa hatuna timu ya kutupeleka popote pale sasa hivi.

Kwa mimi naona Chelsea ikiingia top 4 tu ni sawa na imechukua ubingwa tokana na Kocha mbovu kupita maelezo.
Tukubali tu chelsea hii ni dhaifu sana aiwezi kumfunga Liverpool anfield


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom