Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Keppa
Emerson
Luiz
Rudiger
Azpilicueta
Jorginho
Kante
Loftus Cheek
Hazard
Odoi
Giroud

Kama kocha akipanga hicho nina imani ushindi utakuepo. Ila akibug tu akimpanga Alonso tabu tutapata maana yupo slow sana hawez kwenda na kasi ya Mane
Sema sa ivi kipindi cha pili naona kocha aingize striker. Hawa jamaa wanafungika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msijar tunaenda kwenye goal letu la ushinda Liverpool anakufa
 
Chelsea hii ya sasa kwa Mtu anayejitambua hawezi kabisa kujihangaisha kuiwekea matumaini 7bu ya kuwa na Kocha kilaza.

Ebu chukulia fainali ya Carabao tukiwa na City tulicheza hadi extra time lkn Chelsea haikupata hata shuti 1 on target, afu bado Mtu niendelee kujipa stress?

Nasema nitakuwa wa mwisho duniani kujipa presha ya kuipenda timu yangu Chelsea kama Sari Mafegi bado yupo hadi Kocha kimeo atapofukuzwa kazi.
Kashaingia kaka...tusubir bahari ikauke kwa dekio

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom