Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Aisee hii kasumba ya kufukuza makocha in the future itatuweka mahala pabaya sana kwa sababu hakuna kocha atataka kufanya kaz na sisi kikubwa tumpe nafasi next season mbona yuko poa kama ivo inapandisha vijana na kuwapa more experience #sarri[emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
We ndiye kipofu kabisa ktk Watu wenye maono na Chelsea ijayo, pole sana Chifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika makipa wa top six wote huyu ndo kipa mbovu zaidi Chel6 waliingizwa mkenge

Tulikuwa hatuna Amani kwa Stats za Huyu Pazia
Walikuwa Hawajui kuwa wamepigwa kwa kuuziwa Mbuzi kwenye gunia
 
Katika mechi zake za mwisho kucheza na timu top 5, Chelsea hajaambulia hata draw. Haiitaji kuwa mbobezi kujua kuna shida Chelsea.
Screenshot_20190414-211426.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Mashabiki wezangu wa Chelsea wameumia saaana kama vile Chelsea nayo ni timu.

NB:

Liverpool wanastahili pongezi maana wana timu bora kuanzia Kocha, kamati ya ufundi na hata wachezaji wake.

Tumvumilie tu Mzee wa sigara hadi atakapotimuliwa kwa kutoiingiza timu yetu top 4 ndipo labda tutaweza kunenepa tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika mechi zake za mwisho kucheza na timu top 5, Chelsea hajaambulia hata draw. Haiitaji kuwa mbobezi kujua kuna shida Chelsea.View attachment 1071682

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizi stats zako hazijakamilika. Naona umeweka nilizofungwa ili kuwachanganya watu. Man U tumetoka na draw ya 2-2 darajani akaja kunifunga 2-0 FA, Tot kanipiga kwake 3-1, darajani nimembabua 2-0, Liver kalazimisha draw ya 1-1 kwake Anfield, nikaja nikamfunga 2-1 Carabao Cup kwake, leo kanifunga 2-0. Ass Anal nimempiga darajani 3-2 nikaenda kwake kanifunga 2-0. Man City nimempiga 2-0 darajani, nikaenda kwake kanipa kipigo takatifu sina haja kukielezea.

Sasa sijajua hapo ulikua unazungumzia mechi zipi. Kamilisha stats zako usipende ku screenshot ili mradi umekuta tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom