Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

KIKOSI BORA CHA FIFA MWAKA JANA, WACHEZAJI WAWILI WA CHELSEA NGOLO KANTE NA EDEN HAZARD WALIINGIA FIRST ELEVEN KWA NAFASI ZAO WALIZOKUWA WANACHEZA.

LEO BABU SARI MZEE WA KUVUTA BANGI ANAMCHEZESHA KANTE KAMA KIUNGO MSHAMBULIAJI,YULE MPUMBAVU JOGINHO MKATA UMEME, HAZARD KAMA FALSE NAMBA TISA, KANTE NA HAZARD HAWACHEZI HURU COZ SIO NAFASI ZAO KWA MANTIKI HIYO CHELSEA ITASHINDA KIVIPI?
 
Siku akifyatuka chelsea na arsenal mnatafutana kumbuka tulianza kukata gep la point chelsea ulitupiga 11 arsenal 8 spurs 12 saiv tunaongelea point 3 arsenal idadi ya magoli huoni kuna maendeleo ya hatar kwa united?
Ni kweli kuna maendeleo lakini haitakuwa rahisi kihivyo kuingia top four kama wenzeko wengine wanavyoona.

Bado muna kazi kubwa ya kufanya kutuaminisha mashabiki kuwa munaweza kuingia top four..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kuna maendeleo lakini haitakuwa rahisi kihivyo kuingia top four kama wenzeko wengine wanavyoona.

Bado muna kazi kubwa ya kufanya kutuaminisha mashabiki kuwa munaweza kuingia top four..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna cha ugumu hapo kama tayar ushapunguzwa had point 3 kuna kipi kipya? Uombe tu Mungu basi ila kwa sasa hamna ugumu
 
Ninahisi hatukumfuatilia Jourginho mapema, tatizo sio Morata wala Giroud,
Jourgninho hakustahjili hata kuwa MF XI, he is a total rubbish asiyeweza kupass, nguvu/stamina hana, hana ubunifu, basi yupo yupo tu
Kante arudishwe namba yake, Hazard acheze position yake ya winger
Sarri asipofanya hivyo hata aje Mesi na Ronaldo waungane na Hazard, matokeo tutaisikia kwenye facebook na youtube
 
Hapana tatizo la Chelsea sio Sarri Bali ni hatuna wachezaji wa kubadili matokeo kama Man united.

Ninyi muna viungo vya kazi, beki za kupaki na kuzuia mashambulizi, sasa kwa Chelsea hatua watu kama hao.

Sarri anaweza kabisa kuifunza Man united na kupata mafanikio mazuri tu.

Kwani Ole ana kombe gani? Mbona anafanikiwa apo Man u? Ni kwa sababu ya aina ya wachezaji alionao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu kwa ubishi wa Sarri asingewezana na Pogba, Rashford NK. Ole Gunnar anachofanya ni kuwasikiliza wachezaji na kuwapa huru, ndio strategy aliyotumia ambayo Mou alishindwa. Sarri anachofanya ni kuwanyima wachezaji uhuru, hata sidhani kama anamsikiliza huyo msaidizi wake
 
Wakiambiwa Chelsea sio timu ya kudevelop young player hawakubali
Katika timu kubwa (top 6) ni Arsenal na Spurs ndizo timu pekee EPL zindevelop young players, ziko wapi, makombe mangapi mmechukua kwa kuwatumia hao academy?. POLENI SANA KWA KUTUMIA HAKI YA KUSEMA BILA ANALYSIS
  1. Man united
  2. Chelsea
  3. Man city
  4. Liverpool
Wanachana mifuko kuwanunua experienced players, matokeo mnayaona kwa macho haitaji kusimuliwa
Pamoaj na Liverpool kutochukua kikombe chochote lakini mwaka huu mnaona faida ya kununua
 
Bado narudia kuwakumbusha wasiojua dynamics za ligi kuwa leo unafungwa, kesho unashinda au unatoa draw
Kila timu kwa wakati Fulani inaangukia katika nyakati hizo
Kesho Chelsea ikifululiza kushinda hata mechi mbili tu na hawa wanaokuja kupiga nduru huku wakitoka tu sare, distance inaongezeka na tutakutana mei 12 wengine wakigombania basi la Europa hata kama hawapendi. Chelsea sio timu ya kukaa nje ya top 4 kwa misimu miwili, msimu mmoja bahati mbaya tena kwa sababu ya ugomvi wa wachezaji na kocha. Tumezoea mwaka mmoja mbaya na mwingine ni wa kombe
 
Ninahisi hatukumfuatilia Jourginho mapema, tatizo sio Morata wala Giroud,
Jourgninho hakustahjili hata kuwa MF XI, he is a total rubbish asiyeweza kupass, nguvu/stamina hana, hana ubunifu, basi yupo yupo tu
Kante arudishwe namba yake, Hazard acheze position yake ya winger
Sarri asipofanya hivyo hata aje Mesi na Ronaldo waungane na Hazard, matokeo tutaisikia kwenye facebook na youtube
Kwahiyo Mkuu unataka kusema Jorginho mlipigwa na ni MZIGO wa timu
 
Bado narudia kuwakumbusha wasiojua dynamics za ligi kuwa leo unafungwa, kesho unashinda au unatoa draw
Kila timu kwa wakati Fulani inaangukia katika nyakati hizo
Kesho Chelsea ikifululiza kushinda hata mechi mbili tu na hawa wanaokuja kupiga nduru huku wakitoka tu sare, distance inaongezeka na tutakutana mei 12 wengine wakigombania basi la Europa hata kama hawapendi. Chelsea sio timu ya kukaa nje ya top 4 kwa misimu miwili, msimu mmoja bahati mbaya tena kwa sababu ya ugomvi wa wachezaji na kocha. Tumezoea mwaka mmoja mbaya na mwingine ni wa kombe
Hapa JF ukitokea msiba lazima watu waje kuwapa pole regardless wewe ni bingwa au umefungwa na timu inayoshuka daraja.Msiba hauna mwaliko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KIKOSI BORA CHA FIFA MWAKA JANA, WACHEZAJI WAWILI WA CHELSEA NGOLO KANTE NA EDEN HAZARD WALIINGIA FIRST ELEVEN KWA NAFASI ZAO WALIZOKUWA WANACHEZA.

LEO BABU SARI MZEE WA KUVUTA BANGI ANAMCHEZESHA KANTE KAMA KIUNGO MSHAMBULIAJI,YULE MPUMBAVU JOGINHO MKATA UMEME, HAZARD KAMA FALSE NAMBA TISA, KANTE NA HAZARD HAWACHEZI HURU COZ SIO NAFASI ZAO KWA MANTIKI HIYO CHELSEA ITASHINDA KIVIPI?
Et mvuta bangi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unawezaje kumfananisha Morata, Giroud na mtu kama Laccazete au Auba?

Kwa ufupi sisi hatua straika ya kubadili matokeo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wakati unatoa £70m kumnunua moratta hukumuona huyo lacazette au auba wa £40m?hiyo pesa ilitosha hata kumtoa icardi kule inter, ila wakati unatoa paun mil 15 kumchukua giroud kwan hujamuona samatta pale genk hata paun 7 mil ungepewa tu hahahahaaa unakuja kulialia sasa hivi huna striker kama ulipewa bure kumne ulinunua mwenyewe
 
Chelsea tuna timu bora pengine hata kuliko Man U na Arsenal lakini morale haipo, no consistency sasa kwa hiyo hatujui tutashinda mechi ipi na ipi tutafungwa. Mara leo tumewafunga Man city kesho tumefungwa na Arsenal ambayo kwa maoni yangu wana defense mbovu kwenye EPL
Hahahahahaha
 
Chelsea tuna timu bora pengine hata kuliko Man U na Arsenal lakini morale haipo, no consistency sasa kwa hiyo hatujui tutashinda mechi ipi na ipi tutafungwa. Mara leo tumewafunga Man city kesho tumefungwa na Arsenal ambayo kwa maoni yangu wana defense mbovu kwenye EPL
Mkuu sometimes inaumiza ila hatuna budi kuvumilia timu yetu, Ni swala la muda tu. Naamini vijana watakuwa pouwa soon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wakati unatoa £70m kumnunua moratta hukumuona huyo lacazette au auba wa £40m?hiyo pesa ilitosha hata kumtoa icardi kule inter, ila wakati unatoa paun mil 15 kumchukua giroud kwan hujamuona samatta pale genk hata paun 7 mil ungepewa tu hahahahaaa unakuja kulialia sasa hivi huna striker kama ulipewa bure kumne ulinunua mwenyewe
Uyo Auba au Lacca wanaeza kwenda liver au man u au yeyote ile kubwa wakaboronga tu ..

Refer kwa Sanchez kutoka Arsenal kwend man u, De maria kuja man u, hao wote wameboronga apo man united lakin sio kwamba viwango havipo/havikuwepo

Nadhan unajua De maria alichofanya baada ya kuondoka man united.

Vile yule straika mColombia ..aliboronga Chelsea lakin alivyoenda Monaco alikimbiza sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom