Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Arsenal hongereni sana kwa ushindi mnono, lkn punguzeni kufunga magoli ya mikono kama goli la pili maana hata mwaka juzi mlimfunga hivyo hivyo Barnley FC.

Pia punguzeni kunawa ndani ya pelnaty box.

Referee angekuwa makini sana jana Ilibidi Chelsea wapewe pelnaty hata 1, sababu mlinawa zaidi ya mipira mitatu iliyokuwa ikipigwa kuelekea golini mwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili povu la magadi....ila pongezi tumezipokea,lile goli limepigwa na bega.....ha tufanye 1 kwa nunge
 
Bila kulazimishwa tumemkabidhi Man Utd top four kila kitu kwenye team kiko below average ikifikia team inafungwa na arsenal basi ni team ya kawaida, haikuwa fair kumfunga City na kumkwamisha title race bila sababu yoyote ,all in all blue is the colour
Unapigwa na arsenal unamsifia united,huku ni kuchanganyikiwa waziwazi
 
Nan kwakwambia chelsea imejifia

Wewe ulitaka amuingize nan, sis hao ndio wachezaji wetu, graduate wa arsenal acardemy, lazima wacheze,

Wengine wapumzike kwa aajiri ya kukunyoa ijumaa

Sent using Jamii Forums mobile app
imagine kwa game ya jana wewe ndo kocha ungethubutu kumtoa Lacazette na kuingiza watoto wakati huo huo Ozil yupo fit na anasugua benchi??? angalia game ya Liverpool ulivyooga nyingi thats why nimekuambia ile Chelsea imejifia
 
Mkitaka mtoboe uzeni huyo hazard,giroud,willian,drinkwater,pedro,morata,joginho, mununue wachezaji wengine maana hao wanacheza kama wanalazimishwa....lakini mioyo yao ipo kwingine kabisaaa miili ipo chelsea
 
imagine kwa game ya jana wewe ndo kocha ungethubutu kumtoa Lacazette na kuingiza watoto wakati huo huo Ozil yupo fit na anasugua benchi??? angalau game ya Liverpool ulivyooga nyingi thats why nimekuambia ile Chelsea imejifia
Wewe acha kelel3 subiri unyolewe
 
Marcos Alonso Crosses (7/79 8.9%)

v Fulham : 0/6
v Wolves : 0/5
v Brighton : 0/1
v Leicester : 0/3
v Watford : 0/1
v Crystal Palace : 1/5
v Southampton : 1/4
v Tottenham : 1/3
v Newcastle : 1/3
v Aresenal : 0/8

Marcos Alonso is the worst left back in the Europe's top 5 leagues.
 
Emerson Lb & James Rb immediately upgrades the team & helps our build up

Odoi Rw & Eden Lw with Higuain st, immediate upgrades our attack & would bring more goals

Not hard to do, get Higuain, recall James & stop playing the Donkeys & oldies

๐Ÿ˜ฑ
 
"It's very easy to analyze Chelsea. They've set patterns and it's easy to analyze their style. You mark Jorginho and their build-up in the first phase is blocked" - Mourinho Post Match
 
Timu ijifunze kumshirikisha kocha kwenye sajiri. Sajiri zote zilizofanywa na bodi msimu ulipita wamejionea jinsi zilivyoleta hasara. Drinkwater, Bakayoko, Zapacosta, Giroud, Morata hata Barkley si wa kiwango cha kuwa first team

Sent using Jamii Forums mobile app
usiwafanye hao watu mbuzi wa kafara. Hao wakina Bakayoko,Morata Drinkwater hata hawajacheza kwenye game ya jana. Tukubali tu kocha kaishiwa mbinu hana plan B. Hata tumsajili striker gani ataishia kuwa flop tu, kwa staili hii ya kuishia kumtegemea luiz ndio apige long balls kama assist, viungo wameshindwa kuwa wabunifu
 
Callum Hudson-Odoi v Arsenal

16 Touches
6/8 Passes
75% Pass accuracy
0/1 Cross
1/1 Dribble
1/1 Aerial
4/4 Duels
2 Rocoveries
2 Was fouled
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom