radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Hivi nyie hamna academy? Hamuoni lingard na rashford wanasumbua kwetu japo lingard sio mbunifu na simuamini ila anakimbia sana kuwapa shida viungo na mabek timu pinzani?Hahahaha Morata kurudi kwenye kuimarika labda asepe apo Darajani.
Refer kwa Salah, alipokuwa Chelsea alipoteana kabisa ..lakini baada ya kuondoka na kurudi amekuwa bora zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kuhangaika sokoni tu lukaku anaangalia jukwaani mtoto tuliemkuza anafunga tu nyie vipi? Kenedy na chiloba nao hamuwamini mmeuza yule dogo kwenda lyon alikuwa anakuja vizur kule ajax