Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa morale walionayo Man United sio timu ya kuibeza, hata wakati wa Mou mimi sikuwahi kuibeza Man United, imesheheni wachezaji bora na sasa wanajituma ile mbaya
Wana morale na pia wana kikosi kizuri pengine kuliko sisi Chelsea, lakini sio kwamba hawatofungwa.

Kama jana Arsenal hakutegemea kama angeshinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana morale na pia wana kikosi kizuri pengine kuliko sisi Chelsea, lakini sio kwamba hawatofungwa.

Kama jana Arsenal hakutegemea kama angeshinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chelsea tuna timu bora pengine hata kuliko Man U na Arsenal lakini morale haipo, no consistency sasa kwa hiyo hatujui tutashinda mechi ipi na ipi tutafungwa. Mara leo tumewafunga Man city kesho tumefungwa na Arsenal ambayo kwa maoni yangu wana defense mbovu kwenye EPL
 
Sarri anafaa kuifunza timu iliyokamilika kama Man United.

Sio Chelsea ambayo bdo kuna tatizo la straika, beki ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sarri sio kocha wa kuipa timu mafanikio kashindwa kushinda kombe hata moja na napoli nilikuwa najiuliza ni kipi mlikiona? Hata manchester united hafai kuifunza hana sifa.
 
Hizo zilikuwa ni sababu za kibiashara tu.

Pengine ni kama kamari tulicheza, hata hivyo Conte hakuusika na huu usajili.

Ila Morata bado yupo vizuri tu. Labda mfumo na presha ya ligi ndo vinamchanganya..

Akitulia atakuwa straika bora kabisa kuwahi kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mkuu tuendelee kufunga na kusali kwa Mungu morata aimarike.
 
Wana morale na pia wana kikosi kizuri pengine kuliko sisi Chelsea, lakini sio kwamba hawatofungwa.

Kama jana Arsenal hakutegemea kama angeshinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nilitegemea mapema tu kuwa tunawanyoa

Toka game ya darajan niliwaona hamna kitu kabisa nyie
FB_IMG_1547976457735.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea tuna timu bora pengine hata kuliko Man U na Arsenal lakini morale haipo, no consistency sasa kwa hiyo hatujui tutashinda mechi ipi na ipi tutafungwa. Mara leo tumewafunga Man city kesho tumefungwa na Arsenal ambayo kwa maoni yangu wana defense mbovu kwenye EPL
Sasa ubora wenu ni kwenye nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unawezaje kumfananisha Morata, Giroud na mtu kama Laccazete au Auba?

Kwa ufupi sisi hatua straika ya kubadili matokeo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Chelsea mnajua kuspend, mkiamua icard kesho atue hapo darajan anatua,

Halafu hamtak kuwaamin mastraika wenu mliowakopesha, morata na giroud stail yao ni moja

Higuain kwasasa epl haiwez, kwanza anakitambi kama JB, pia ameshapoteza ule uwezo wake wa kutupia

Tatizo jingine sari anakomaa na jorginho kwenye namba 6 ,siku atakapofukuzwa, kocha ajaye cha kwanza, atamrudisha kante 6 ,ataleta forwad ,bas timu itatembea

Wengi mnambeza hazard kwa game hiz, hazard akicheza force 9 hana makali yoyote,

Bek zinacheza kwa uhuru,

Jana tumepata cleenshit ya kibabe ,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sarri sio kocha wa kuipa timu mafanikio kashindwa kushinda kombe hata moja na napoli nilikuwa najiuliza ni kipi mlikiona? Hata manchester united hafai kuifunza hana sifa.
Hapana tatizo la Chelsea sio Sarri Bali ni hatuna wachezaji wa kubadili matokeo kama Man united.

Ninyi muna viungo vya kazi, beki za kupaki na kuzuia mashambulizi, sasa kwa Chelsea hatua watu kama hao.

Sarri anaweza kabisa kuifunza Man united na kupata mafanikio mazuri tu.

Kwani Ole ana kombe gani? Mbona anafanikiwa apo Man u? Ni kwa sababu ya aina ya wachezaji alionao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana tatizo la Chelsea sio Sarri Bali ni hatuna wachezaji wa kubadili matokeo kama Man united.

Ninyi muna viungo vya kazi, beki za kupaki na kuzuia mashambulizi, sasa kwa Chelsea hatua watu kama hao.

Sarri anaweza kabisa kuifunza Man united na kupata mafanikio mazuri tu.

Kwani Ole ana kombe gani? Mbona anafanikiwa apo Man u? Ni kwa sababu ya aina ya wachezaji alionao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kocha sio wachezaji hivi kante anachezaje kule? Huoni kama yule jojinho angecheza mbele ya kante angekuwa mzur?

Yaani bila luiz kutumia uzoefu wa penetration pass hamna kiungo nyie wa kupeleka timu mbele mnamtesa sana hazard
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom