Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,506
- 7,472
Kwenu
Mlikaba na watu wangapi Anfield na bado akafanya nini.? Sitaki jibu, unajua nini kilizokea pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Arsenal hongereni sana kwa ushindi mnono, lkn punguzeni kufunga magoli ya mikono kama goli la pili maana hata mwaka juzi mlimfunga hivyo hivyo Barnley FC.
Pia punguzeni kunawa ndani ya pelnaty box.
Referee angekuwa makini sana jana Ilibidi Chelsea wapewe pelnaty hata 1, sababu mlinawa zaidi ya mipira mitatu iliyokuwa ikipigwa kuelekea golini mwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vyote tunapiga.Etihad
Anfield
Old Trafford
sijui kiwanja gani mtatoka salama hapo
Top four uwakika usiogope.Pumzi imekata top four hatuwezi kuingia tena
Wacha kukata tamaa mapema.Bila kulazimishwa tumemkabidhi Man Utd top four kila kitu kwenye team kiko below average ikifikia team inafungwa na arsenal basi ni team ya kawaida, haikuwa fair kumfunga City na kumkwamisha title race bila sababu yoyote ,all in all blue is the colour
Hahahaha duh! Sarri han maisha marefu apo darajani.Kashndwa tu kusema group of fools[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 999662
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumlaumu mchezaji mmoja ni makossa, jana timu haikuwa na morale, nahisi kuna shida kwenye benchi la ufundi akiwepo kocha. Arsenal sio timu ya kutufunga kwa staili ile jamaniJorginho jipu kivipi?
Wenywe wanakwMbia sarris ball[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha duh! Sarri han maisha marefu apo darajani.
Hata hivyo Sarri hakustahili kuifunza Chelsea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una straika sisi hatuna.Cheltako bhana, sasa arsenal hii nan kwakwambia imekamilika, arsenal.hii ambayo haijafanya usajir wa kueleweka,
Sema wewe timu yako ovyoo...na hapo umesajir umejaza mizigo kwenye bench,
Usiposajir ww tunakukuta mtaa wa 10
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu mzima anaongea lugha ya mama yake jua mambo magumu, lakini bado mbishi anasema hatabadilika, Jourginho atacheza palepale, Kante pale pale, mfumo ni ule ule wa 4-3-3Sarri: "Oggi preferisco parlare italiano, voglio mandare un messaggio ai miei giocatori e non voglio parlare male in inglese ...... Devo dire che sono estremamente arrabbiato perché questa sconfitta è stata sul nostro mentalmente. "
Sisi sio mashabiki wa Liverpool.Mtapakimbia wote hapa
Kwa morale walionayo Man United sio timu ya kuibeza, hata wakati wa Mou mimi sikuwahi kuibeza Man United, imesheheni wachezaji bora na sasa wanajituma ile mbayaWacha kukata tamaa mapema.
Man United wala Arsenal hawana nafasi top four.
Sent using Jamii Forums mobile app
Morata na jirudi mliletewa na nani?
Hahahaha wewe wa sariball??Hahahaha duh! Sarri han maisha marefu apo darajani.
Hata hivyo Sarri hakustahili kuifunza Chelsea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu nao ni unafiki, Liverpool kwa sababu mnabahatisha kushinda na mnaongoza ligi, hata mende hajifichi, ngoja mambo yaharibike, watabakia Liverpool halisiSisi sio mashabiki wa Liverpool.
Hatuna tabia za kukimbia jukwaa kama nyie na kumwachia Malafyale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu mkashinda chuma tano au vipi mkuu.Callum Hudson-Odoi v Arsenal
16 Touches
6/8 Passes
75% Pass accuracy
0/1 Cross
1/1 Dribble
1/1 Aerial
4/4 Duels
2 Rocoveries
2 Was fouled
Arsenal kushinda sio kwamba ni bora kuliko Chelsea. Hata Liverpool sio kwamba ni bora kuliko Arsenal..Kama mlivyopiga Emirates