Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sub gan , kocha anabadilika badilika, kocha ndio anajua , hiyo game manyua nakunyoa vzr, situpo hapa

Wewe unakuja tu mbele ,nitakuweka sichin ya goli 2

Sent using Jamii Forums mobile app
yani unatoa wanaume unaingiza wavulana hatima yake wanaenda kurukaruka uwanjani na vile umekuta Chelsea iliyojifia wallah ungeoga nyingi
 
yani unatoa wanaume unaingiza wavulana hatima yake wanaenda kurukaruka uwanjani na vile umekuta Chelsea iliyojifia wallah ungeoga nyingi
Nan kwakwambia chelsea imejifia

Wewe ulitaka amuingize nan, sis hao ndio wachezaji wetu, graduate wa arsenal acardemy, lazima wacheze,

Wengine wapumzike kwa aajiri ya kukunyoa ijumaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_4944.JPG



Sent using Jamii Forums mobile app
 
DullyJr pole sana lkn ndiyo soka,endeleeni kuwa wavumilivu Sarri ataunda team imara


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bila kulazimishwa tumemkabidhi Man Utd top four kila kitu kwenye team kiko below average ikifikia team inafungwa na arsenal basi ni team ya kawaida, haikuwa fair kumfunga City na kumkwamisha title race bila sababu yoyote ,all in all blue is the colour
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom