Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tangu aje ndani ya The Blues amekuwa anatuchezesha mipira mingi mno katikati lkn haifiki golini mwa timu pinzani, kibaya zaidi hajui kusajili wachezaji muhimu.

Mfano; kulikuwa kuna ulazima gani hasa kusajili kiungo toka Ujerumani badala ya kuyauza Giroud na Morata hata kuyatoa kwa mikopo yakafie mbele ili anunuliwe Forward Icard toka Italy?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jorginho, Willian, ni wakimbizi tu uwanjani wala hawana lolote jipya.

Chelsea itufukuzie haraka huyu Zari Masigara maana ni msimamizi tu wa mazoezi.

Inakuwaje hata game isiyohitaji "ball position" badala ya "ball techniques & tactics" asiweze kutumia plan B kwa kutokukariri mfumo m1 tu wa "4 - 3 - 3" kila siku?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arsenal hongereni sana kwa ushindi mnono, lkn punguzeni kufunga magoli ya mikono kama goli la pili maana hata mwaka juzi mlimfunga hivyo hivyo Barnley FC.

Pia punguzeni kunawa ndani ya pelnaty box.

Referee angekuwa makini sana jana Ilibidi Chelsea wapewe pelnaty hata 1, sababu mlinawa zaidi ya mipira mitatu iliyokuwa ikipigwa kuelekea golini mwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili nami nililiona! Tutabaki na pasi 800 kwa mechi moja lkn makombe kuyachukua itakuwa hadithi nyingine. Na mbaya zaidi naiona top four tutakuwa tunasotea sn kuingia. "Huenda Conte aliondolewa na makombe"!
Nilishavaa mapema sana viatu vya Sari kuwa si Kocha kwa EPL na anastahili kabisa kufukuzwa kazi, maana inakuwaje kila siku ni mtu wa kuisifia timu bila matokeo kwa "ball position" pekee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sarri akubali mabadiriko,huyu Jorgihno hawezi wafikisha popote na vipasi vyake uchwara!
Mpe Kante majukumu yake akae katikati ya dimba na pembeni mpe Alonzo na yule Mosses
Chelsea ina watu wenye uwezo sana kucheza mpira!
NB mnapo jadili team yenu epukeni kabisa kutumia lugha mbovu hasa kutukana team na kocha,haiwasaidii lolote!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Chelsea have made contact with Barcelona over a £100m move for Philippe Coutinho as the Spanish side look to offload the Brazilian.
 
Offload Willian buy Courtinho,
Buy a creative midfield
Buy a world class striker at any cost
Buy an option for Alonso
Choose another captain who can motivate the team Cahili isn't happy and so he can't help the fellow players
Our should learn to be move motivative, ajifunze Kwa Klop, Mourinho na Guadiola


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu ijifunze kumshirikisha kocha kwenye sajiri. Sajiri zote zilizofanywa na bodi msimu ulipita wamejionea jinsi zilivyoleta hasara. Drinkwater, Bakayoko, Zapacosta, Giroud, Morata hata Barkley si wa kiwango cha kuwa first team

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kulazimishwa tumemkabidhi Man Utd top four kila kitu kwenye team kiko below average ikifikia team inafungwa na arsenal basi ni team ya kawaida, haikuwa fair kumfunga City na kumkwamisha title race bila sababu yoyote ,all in all blue is the colour
Huu ndio upuuzi. Give credits to Arsenal, they wanted it more yesterday!
 
Morning lads
IMG_20190120_080638_774.JPG
IMG_20190120_080621_722.JPG
IMG_20190119_225339_130.JPG
IMG_20190119_225353_727.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom