Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea hongereni, mmefanya kazi nzuri haina kipimo.

Kazi kwangu kupambana na Man Utd ili nile Xmas nikiwa top.
 
Bila shaka hapa umepigwa dole la mkun duni
Ona sasa ulivyoaibika
Nakumbusha tu! Tayari Timu za Top Zeshakamilika!
Arsenal leo amewashusha rasmi kutoka Top 4...
Na sidhani Kama mutaweza Kumshusha tena (Probability)...
Now Eorpa next season inawasubiri tena...

Leo Mupigwe tu

Nafasi yeni Ni ya 5 msimu huu
 
Dua la kuku halimpati mwewe. Nakuona ulivyokuwa unahangaika kututafutia lose kwenye keyboard. Hahahaaa..

Kama hamuamini vile mnachokiona.
Nakumbusha tu! Tayari Timu za Top Zeshakamilika!
Arsenal leo amewashusha rasmi kutoka Top 4...
Na sidhani Kama mutaweza Kumshusha tena (Probability)...
Now Eorpa next season inawasubiri tena...

Leo Mupigwe tu

Nafasi yeni Ni ya 5 msimu huu
 
Sarri inaonesha Kaangalia records za games za Liverpool vs City akagundua Kuwa Klopp Humuachia Man City dakika 30 za mwanzo acheze Mpira then Anaenda Kumfunga.

Na hii ndiyo sifa ya Kumfunga Man City! Umzuwie dakika 30 za mwanzo tu! Ukifanikiwa Kumzui dakika 30 za mwanzo basi hakufungi tena.
Hapo alizuiwa kwa dakika ngapi?
Ninachojua mie City ni timu ya kutafuta mpira kwa haraka (six seconds technique) ndio maana ukimpasia goalkeeper wachezaji wa City hata wa 3 wanaweza kumfuata goalkeeper. Ukiwa na wachezaji wenye accurate long balls utamsumbua City sana kama alichokifanya David Luiz. Wakati anapiga ule mpira mbele yake kulikuwa na wachezaji 5 wa City. Pia City hujenga mashambulizi kuanzia kwa goalkeeper wao ndio maana ni mara chache sana kuona keeper wa City kapiga mpira mrefu. Na City ukimkabia juu kwa kasi utamsumbua sana na ndicho Klopp anachokifanya na Liverpool yake. Huwa beki zake zinapoteza mipira sana unapoenda kwa kasi. Rejea mechi na Liverpool aliyopigwa 4 kwa 3 na nyinginezo.
Screenshot_2018-12-08-23-18-55.jpg
 
Kwa kweli Washabiki Wa Mpira (Nikiwemo Mimi) tunapenda sana Kushambulia Wachezaji Wanapoboronga!

Kama Leo Kupangwa Kwa Willian Washabiki Wameshambulia Sana, Lakini Hakuna lisilofaa Kwani goli alilogunga Kante Kabla ya Hazard Kuassist, Ni Willian ndiye Aliyekimbiza Mpira kutokea Kati Mpaka Ukamfika Hazard.
Nikusahihishe king
Kukimbia alikimbia ndio akapiga mabeki wakaokoa kwa vichwa
Alonso akautuliza Kisha akamsogezea hazard na kumpasia kante
 
Mwisho wa msimu msimamo utakuwa hivi
1 Chelsea
2 Tottenham
3 Man city
4 Liverpool
 
Uko kwenye jukwaa letu , kuwa na heshima , its Chelsea and not Chelshit
Ni kweli heshima ni kitu cha bure matusi si tija wala si ushabiki tunapoongelea soka embu tujikite kwenye soka ,tunapoongelea utani tujikite kwenye utani
 
Pia kuna kale ka button ka ignore , kanasaidia sana kupotezea wale madogo jobless wenye muda wa kuchart JF 24/7
Ni kweli heshima ni kitu cha bure matusi si tija wala si ushabiki tunapoongelea soka embu tujikite kwenye soka ,tunapoongelea utani tujikite kwenye utani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom