Move imeanza kwa luiz... then pedro ndo wilian....... acha kudanganyaKwa kweli Washabiki Wa Mpira (Nikiwemo Mimi) tunapenda sana Kushambulia Wachezaji Wanapoboronga!
Kama Leo Kupangwa Kwa Willian Washabiki Wameshambulia Sana, Lakini Hakuna lisilofaa Kwani goli alilogunga Kante Kabla ya Hazard Kuassist, Ni Willian ndiye Aliyekimbiza Mpira kutokea Kati Mpaka Ukamfika Hazard.
King Ngwaba njoo ukuNajua Mashabiki wengi Wa Liverpool wanataka Chelsea leo ishinde!
But Fanboys Wa Chelshit wana Kidomodomo sana Kwahiyo Bora Leo Mupigwe Nyingi tu.
Natumai Leo Nitashiriki Katika Msiba hapa
Move imeanza kwa luiz... then pedro ndo wilian....... acha kudanganya
vp mkuu.Natunza huu ujumbe wako mkuu.
Unadhani City ni Man U sio?
wengine tuliona mapema kabisa.Tumefungwa na team nzuri, haina haja ya kulaumu
tujiandae na mechi ijayo, nina uhakika city akijitahidi sana ni droo
by the way we are chelsea, kwenye mvua kwenye jua.
Mkuu wee fanya kukaa hapo juu kwanza tunaijia hyo seatAt least mumeresist kushushwa na Arsenal but we are leading the race
It feels like mmechukua kombe enhee??Yaani tumempiga mbabe
vp mkuu.
Hahaha.Nipo hapa natazama marudio ya mechi yenu na wolves.
Mkuu wee fanya kukaa hapo juu kwanza tunaijia hyo seat
Ohoooo mbona jazba jamaani?? Humu hamna msiba jamani, elekeeni huko jiranini na mourhnoKwani nimesema Willian Kajianzia Mwenyewe Kutoka Goalkick?
Wacha Kuqoute mambo Kimkundumkundu!
City alikuwa kama demu wa geti kali ni kumlia timing tu gafla anastuka mhuni kashamti viwili