Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Eti Sarri ball kenge kabisa. Unamchezesha Kante winga mshambuliaji unategemea nini???? Unamchezesha jorgihno katikati wakati ndio kwanza mgeni katika ligi ya Uingereza unategemea nini??????? Yaani hii Sarri Ball inafanya wachezaji kama kina Hazard, Azipilicueta, Alonso, Kante, n.k waonekane wabovu. Timu inapiga pasi nyingi lakini hakuna cha maana katika hizo pasi, ngoja mkutane na man City alafu mcheze huo upuuzi wenu muone mtakacho fanywa. Lakin mtapata wapi mda wa kupiga piga hivyo vipasi vyenu kwa city
 
Hahahaha wazee wa Europa sahiv wanaona joto la jiwe! Mbona mwaka huu mtanyooka hadi akili iwajie.
 
I think out of the 10-15 crosses that Alonso puts in the box, only 1 ends up in the 6 yards box. He has no control at all on his crosses. He has a fullback and yet his crossing skills are one of the worst.

Nafikiri Alonso na Bellerin wetu wa Arsenal wanafanana...they can't cross,cut back...Mara wamlenge kipa.Sijui hawajifunzi mazoezini.
 
Sarri: "City are in another category. They're not in our category. We've to play and to fight to be in the top four I think. The result is very difficult for this. In every match you have to gain points. I lost Serie A with 91 points so I know every match you have to gain points"

Sarri ameshafungwa hii game na City kabla haijaanza...City wana weaknes mbona na akitulia anawafunga vizuri...
Chelsea sio ya kuigopa City..not to that extent.
 
Tumefungwa na team nzuri, haina haja ya kulaumu

tujiandae na mechi ijayo, nina uhakika city akijitahidi sana ni droo

by the way we are chelsea, kwenye mvua kwenye jua.
 
Tunakumbushana tu kwamba sasa gap la points limeongezeka, so mjitahid jpili kabla hatujawatoa kwenye wagombea ndoo
 
Eti Sarri ball kenge kabisa. Unamchezesha Kante winga mshambuliaji unategemea nini???? Unamchezesha jorgihno katikati wakati ndio kwanza mgeni katika ligi ya Uingereza unategemea nini??????? Yaani hii Sarri Ball inafanya wachezaji kama kina Hazard, Azipilicueta, Alonso, Kante, n.k waonekane wabovu. Timu inapiga pasi nyingi lakini hakuna cha maana katika hizo pasi, ngoja mkutane na man City alafu mcheze huo upuuzi wenu muone mtakacho fanywa. Lakin mtapata wapi mda wa kupiga piga hivyo vipasi vyenu kwa city

Tuliwaambia zamani Maneno Kama Haya Kuwa EPL sio Seire A wakatubishia 😀😀😀

Ukicheza EPL unatakiwa uwe mpole na usiwe na papara 😀😀

Ukiivamia tu basi baada ya Mechi 5 unageuzwa mlenda 😀

Joginho alikuja na Mafamba Yake Akataka Kucover Pitch yote kwa 100% kwa kila mchezo ili aonekane anaujua 😀😀

Kumbe Wajanja walikuwa Wanamchora tu anavyovamia ground 😀 sasahivi Kawa Mtoriro tu.

Nafikiri Akiwaona Kina Gini na Gana Gueye wanacheza Mido taratiibu alikuwa akidhani Ni Mabooooya 😀😀 kumbe watu wanatunza energy 😀

Sasa yeye hana Nguvu tena ata ya Kujogging 😀
 
Narudia tena, siku Chelsea ikianza kupata matokeo mabovu ndio mtajiuliza hili swali ninalojiuliza mara kwa mara

Kwanini Sarri amchezeshe Kante kiungo wa mbele (wakati Kante si mzuri sana kwenye pasi za mwisho na kumiliki mpira)? Kante ni mzuri kukata umeme mbele ya beki 4 na 5.

Ipo siku mtajiuliza hili swali, ngoja tujipe muda
 
Nakubali sasa kwa mara ya kwanza kwamba kama Chelsea anataka kuwa Top FOUR basi ni lazima waingie sokoni kutafuta mtundika mabao tangu aondoke Costa timu inasuasua sana.

Pia panahitajika mido mwingine mkali atakayeendana na mfumo wa Kocha Sarri; chakula kitamu kinahitaji mpishi - vingineyo uefa ndogo inatuhusu tena mwakani.
 
Narudia tena, siku Chelsea ikianza kupata matokeo mabovu ndio mtajiuliza hili swali ninalojiuliza mara kwa mara

Kwanini Sarri amchezeshe Kante kiungo wa mbele (wakati Kante si mzuri sana kwenye pasi za mwisho na kumiliki mpira)? Kante ni mzuri kukata umeme mbele ya beki 4 na 5.

Ipo siku mtajiuliza hili swali, ngoja tujipe muda
hili Sarri kalijibu mara nyingi kwamba kwa mfumo wake KAMWE hatamchezesha Kante mido ya Kati. kwa style ya mpira anaofundisha ni either Joginho ama Fab. upo kiongozi?
 
FT thoughts #WOLCHE

* Christensen isn't Chelsea quality
* We don't have a striker
* Willian should never start for us
* Alonso just can't cross or defend
* Loftus-Cheek MOTM for us and should start matches
* This match shows we can't rely on our 2nd XI
* Top 4 is a problem now.
Top four???? Hamuingiii nakuapia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom