Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Tatizo la kwanza lipo kimfumo kwamba ukimshika Jorginho basi umeizuia Chelsea hata ukiangalia ktk game za nyuma ya Man U, Everton na jana Tottenham.
Na katika game hizo zote hakuna matokeo mazuri ambayo tumepata zaid ya sare 2 na tumefungwa mechi moja. Na tunapoelekea kwa njia hiyo tutakuwa tunafungika kirahisi n kuzuiliwa kirahisi pindi hata tutakapokutana na team ndogo .
Pili David Luiz ni beki mzuri ila anapokutana na washambuliaji wenye speed ni tatizo tumeona game ya Crystal Palace alimsindikiza Townsend na hatimae alifunga jana ktk magoli yote matatu kahusika. Goal la kwanza ila foul kaitengeneza yeye na ndio ikawa goli. Goli la pili ameuona mpira unaenda golini uwezo wa kuuzuia anao akaupisha jambo ambalo hata Kepa mwenyew akawa anashangaa kwanini ameupisha likawa goli kutokana Kepa alijua David Luiz atafanya clearance ya ule mpira wa Kane na pia Luiz aliupisha kwakuwa alijua akiugusa ataubadilisha muelekeo na huenda akampoteza golikipa wake ila hapa tatizo kubwa ni kukosa mawasiliano baina ya Luiz na Kepa.
Goli la tatu Luiz ameshaona kabisa Jorginho ameshakuwa outpaced na Son akafanya jambo zuri la kutoka kwenda kusaidia ila mwisho wake madudu bora hata asingeenda maana kampa umaarufu Son. Inaonekana kamtoka Jorginho, Luiz, na akafunga .😅
Hatuna mtitiriko mzuri wa mipira inapofika katikati kuelekea mbele mipira mingi inapotea na pili tunahitaji kupata a good striker sio backup striker ambae anakuja kuongeza nguvu tu kikosini tuonekane tuna foward watatu hapana kikubwa tupate striker ambae ataendana na mfumo wetu na kwa striker wenye kasi na mfumo wetu ambao wanaonekana ni kwa haraka ni wawili Mauro Icardi na Timo Werner.
Na katika game hizo zote hakuna matokeo mazuri ambayo tumepata zaid ya sare 2 na tumefungwa mechi moja. Na tunapoelekea kwa njia hiyo tutakuwa tunafungika kirahisi n kuzuiliwa kirahisi pindi hata tutakapokutana na team ndogo .
Pili David Luiz ni beki mzuri ila anapokutana na washambuliaji wenye speed ni tatizo tumeona game ya Crystal Palace alimsindikiza Townsend na hatimae alifunga jana ktk magoli yote matatu kahusika. Goal la kwanza ila foul kaitengeneza yeye na ndio ikawa goli. Goli la pili ameuona mpira unaenda golini uwezo wa kuuzuia anao akaupisha jambo ambalo hata Kepa mwenyew akawa anashangaa kwanini ameupisha likawa goli kutokana Kepa alijua David Luiz atafanya clearance ya ule mpira wa Kane na pia Luiz aliupisha kwakuwa alijua akiugusa ataubadilisha muelekeo na huenda akampoteza golikipa wake ila hapa tatizo kubwa ni kukosa mawasiliano baina ya Luiz na Kepa.
Goli la tatu Luiz ameshaona kabisa Jorginho ameshakuwa outpaced na Son akafanya jambo zuri la kutoka kwenda kusaidia ila mwisho wake madudu bora hata asingeenda maana kampa umaarufu Son. Inaonekana kamtoka Jorginho, Luiz, na akafunga .😅
Hatuna mtitiriko mzuri wa mipira inapofika katikati kuelekea mbele mipira mingi inapotea na pili tunahitaji kupata a good striker sio backup striker ambae anakuja kuongeza nguvu tu kikosini tuonekane tuna foward watatu hapana kikubwa tupate striker ambae ataendana na mfumo wetu na kwa striker wenye kasi na mfumo wetu ambao wanaonekana ni kwa haraka ni wawili Mauro Icardi na Timo Werner.


♂️