Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

EPL wote wana magoal 7. Sasa sikuelewi unachokiongea. Na Hazard alipata injury. Mins played Hazard (875) Salah (1,115) dakika walizocheza. Mara unaniambia mmekatazwa asicheze ha ha hah. Nshajua we ni shabiki wa aina gan

Salah ni namba nyingine wewe, World Top3 player usimfananishe na vitu vya kijinga.

Goal la 7 sasa, subir sasa uone vumbi atakalowatimulia maana yeye kila mechi lazima atupe wavuni.
 
Salah ni namba nyingine wewe, World Top3 player usimfananishe na vitu vya kijinga.

Goal la 7 sasa, subir sasa uone vumbi atakalowatimulia maana yeye kila mechi lazima atupe wavuni.

Mkuu umeanza tena ubishi? yaani namba nyingine kwa mchezaji aliyevuma msimu mmoja tu? mashabiki maandazi mnashida sana, hivi utofauti ya VARDY aliyechukua ubingwa na LEI na Salah ni upi?
 
Mkuu umeanza tena ubishi? yaani namba nyingine kwa mchezaji aliyevuma msimu mmoja tu? mashabiki maandazi mnashida sana, hivi utofauti ya VARDY aliyechukua ubingwa na LEI na Salah ni upi?
Hapa na ww umeenda mbali salah kumfananisha na vardy? Kuwa na heshima kidogo mambo aliyofanya as roma si haba hadi hapo liverpool sema vile chelsea ya mourinho ilikuwa na watu tu kipind kile nakumbuka arsenal anakufa bao 6 kwa chelsea zile movement zake za goli la 6 zilijionesha ni mchezaj mzur tu
 
Usajili ni essential hili halina ubishi, Willian ni jeuri kiburi na mchoyo, Morata viatu vya Costa vilishampwaya zamani. goli la pili limetengenezewa upande wa Kante na Azpilicueta na lawama kipa hakosi maana hata kuruka tu hakuruka ilhali anaona kabisa shuti linakuja. Goli la tatu ni counter attack ambayo imemkuta Alonso out of position na ndio hasara ya full back kuwa mzito kushuka anapopanda Kovacic anahusika sababu ndio upande wake wa kukaba, Jorginho asilaumiwe sana sababu holding midfield anasupportiwa na namba nane kwenye kuvunja mashambulizi, in that case it was Kovacic

Chelsea hii ukikaba Hazard kwisha habari , Pedro na Willian utawaona kama timu pinzani ina beki mbovu na Tottenham haiko hivyo! huku nako viungo wanaosupport mashambulizi (Kante & Kovacic) uwezo wao bado mdogo sana kuwasuppliment strikers

Mi mkuu ntapishana na wewe kwenye majukumu ya holding midfield unae kiungo wa hiyo nafasi duniani kama ukutaja viungo watata wa nne basi ni kante,busquet, casemiro mwingine nimensahau sasa sari anamchezesha wapi kante? Huyo jorginho hakosi lawama kakaa nahali pa kante kuhisi hatar
 
Mi mkuu ntapishana na wewe kwenye majukumu ya holding midfield unae kiungo wa hiyo nafasi duniani kama ukutaja viungo watata wa nne basi ni kante,busquet, casemiro mwingine nimensahau sasa sari anamchezesha wapi kante? Huyo jorginho hakosi lawama kakaa nahali pa kante kuhisi hatar

Hivi Jorginyo hawezi kusogea mbele ya Kante ili kante achepe hapo kati ya mabeki wetu hawa ambao hawana uwezo wa kupunguza kasi ya mpira, wachezaji wote watano wanakimbia kurudi nyuma amna anayemfuata adui bali wanazidi kumuingiza ndani ya 18. Ujinga ule Bosquet,Kante au Casemiro au Ndembele na Wanyama hawawezi kufanya.
 
Mi mkuu ntapishana na wewe kwenye majukumu ya holding midfield unae kiungo wa hiyo nafasi duniani kama ukutaja viungo watata wa nne basi ni kante,busquet, casemiro mwingine nimensahau sasa sari anamchezesha wapi kante? Huyo jorginho hakosi lawama kakaa nahali pa kante kuhisi hatar


of course philosophy ya Sarri huwa ni inanisumbua kuielewa binafsi ninavyojua kwa ufahamu wangu mdogo ni kuwa Sarri huwa anamweka Jorginho eneo ambalo ni exactly la holding defensive midfielder wakati huo huo ninavyomjua mimi binafsi Jorguinho ni mchezaji anaefit 100% namba nane na sio position aliyowekwa ya namba sita na ndio maana nasema mimi mpaka sasa nashindwa kuuelewa mfumo wa huyu kocha bora na simpingi au simkosoi sababu sijui mpira level yake yeye yuko juu yangu

Kwenye goli la tatu ule upande ni wa Kovacic ambapo kimsingi Kovacic ndio msalaba wake, wakati ile pasi inapigwa kwa Hyeung-min Son huyo Alonso hakuwa kwenye nafasi yake alikuwa amepanda kama kwaida yake bila kushuka kama inavyotakiwa kwa Fullback ikawa coverage ambayo ni ya watu watatu akiwemo Jorginho, Kovacic na Alonso sasa amebaki Jorginho peke yake
 
Hivi Jorginyo hawezi kusogea mbele ya Kante ili kante achepe hapo kati ya mabeki wetu hawa ambao hawana uwezo wa kupunguza kasi ya mpira, wachezaji wote watano wanakimbia kurudi nyuma amna anayemfuata adui bali wanazidi kumuingiza ndani ya 18. Ujinga ule Bosquet,Kante au Casemiro au Ndembele na Wanyama hawawezi kufanya.
Yani jamaa angecheza mbele ya kante ingekuwa na faida sana ila makocha nao wanamipango yao mkuu.
 
Hivi Jorginyo hawezi kusogea mbele ya Kante ili kante achepe hapo kati ya mabeki wetu hawa ambao hawana uwezo wa kupunguza kasi ya mpira, wachezaji wote watano wanakimbia kurudi nyuma amna anayemfuata adui bali wanazidi kumuingiza ndani ya 18. Ujinga ule Bosquet,Kante au Casemiro au Ndembele na Wanyama hawawezi kufanya.

Goli la pili limefungiwa upande wa Kante
 
“Tottenham approached this game as if it was a derby, Chelsea approached it as if it was a testimonial,” Ferdinand told BT Sport.
 
Chelsea bado mnacheza CL mwakani,hiyo ndiyo iwe ambition yenu mwaka huu,ubingwa waachieni Man City vs Liverpool.
Mnacheza na Man City weeks mbili zijazo hapo Darajani!
Mki approach game kama hii na Spurs watawafunga hadi aibu.
 
Goli la pili limefungiwa upande wa Kante
Kante huwa anapoteana sana, ni DM mzuri ila watu wamekariri hivo, huwa nashangaa sana game za Arsenal anavyozururaga ovyo

arsenalbible_-20181126-0001.jpeg
 
Hapa na ww umeenda mbali salah kumfananisha na vardy? Kuwa na heshima kidogo mambo aliyofanya as roma si haba hadi hapo liverpool sema vile chelsea ya mourinho ilikuwa na watu tu kipind kile nakumbuka arsenal anakufa bao 6 kwa chelsea zile movement zake za goli la 6 zilijionesha ni mchezaj mzur tu
Na cheli akafa 5
 
Kante huwa anapoteana sana, ni DM mzuri ila watu wamekariri hivo, huwa nashangaa sana game za Arsenal anavyozururaga ovyo

View attachment 947105


Tuwe wakweli kijana kimsingi EPL, La Liga sijaona kiungo wa namba sita au namba nane yeyote ukiacha Busquets(ambae anastaafu hivi karibuni) ambae anamkaribia kipaji, uwezo ama kiwango Mfaransa Ngolo Kante

Inatakiwa kuwepo ushabiki wa soka na ushabiki wa kitimu vyote kuwa balanced at the end
 
Tuwe wakweli kijana kimsingi EPL, La Liga sijaona kiungo wa namba sita au namba nane yeyote ukiacha Busquets(ambae anastaafu hivi karibuni) ambae anamkaribia kipaji, uwezo ama kiwango Mfaransa Ngolo Kante

Inatakiwa kuwepo ushabiki wa soka na ushabiki wa kitimu vyote kuwa balanced at the end
Umekariri ndio maana unasema hivo, humjui Toreira wewe

Kante namjua toka yopo leicester

Kante huyu ambaye huwa anapotezwa na Ozil ?

Kante ni DM anayezurura tu, kante sijui kwanini mnakariri anajua sana , wakati sivyo,

Kante nimekuwa namfatilia game za arsenal toka lei, huwa anatia huruma sana,

Toreira hii mtu achana nayo kabisa ,

Kwanza anacheza namba 2 kwa ufasaha wa hari ya juu, box to box anakupigia vzr kitu ambacho kante hakiwez, anafosiwa sasa hiv na sarri,

Ukija kwa DM, sijaona kama TOREIRA epl...nzima, nimeweka ushabik pembeni

@LTorreira34's numbers yesterday...

% passing accuracy
km covered
ball recoveries
duels
tackles

...and yet another man-of-the-match award

Na hii ndio mech ambayo alichoka sana. Na akaomba sub, lkn bado akabak MOT

HII MTU WAUIZE LIVERPOOL ,au muulize CR7
IMG-20181126-WA0007.jpeg
 
Chelsea bado mnacheza CL mwakani,hiyo ndiyo iwe ambition yenu mwaka huu,ubingwa waachieni Man City vs Liverpool.
Mnacheza na Man City weeks mbili zijazo hapo Darajani!
Mki approach game kama hii na Spurs watawafunga hadi aibu.
Man city watatufunga tu, wametuzidi vitu vingi mno na wametuacha mbali mno kwa aina ya mchezaji mmoja mmoja. Willian kaflop, pedro kaflop, morata ndo mama yangu.. mzigo wote tunammbebesha hazard hawezii naee anachokaaa
 
Umekariri ndio maana unasema hivo, humjui Toreira wewe

Kante namjua toka yopo leicester

Kante huyu ambaye huwa anapotezwa na Ozil ?

Kante ni DM anayezurura tu, kante sijui kwanini mnakariri anajua sana , wakati sivyo,

Kante nimekuwa namfatilia game za arsenal toka lei, huwa anatia huruma sana,

Toreira hii mtu achana nayo kabisa ,

Kwanza anacheza namba 2 kwa ufasaha wa hari ya juu, box to box anakupigia vzr kitu ambacho kante hakiwez, anafosiwa sasa hiv na sarri,

Ukija kwa DM, sijaona kama TOREIRA epl...nzima, nimeweka ushabik pembeni

@LTorreira34's numbers yesterday...

% passing accuracy
km covered
ball recoveries
duels
tackles

...and yet another man-of-the-match award

Na hii ndio mech ambayo alichoka sana. Na akaomba sub, lkn bado akabak MOT

HII MTU WAUIZE LIVERPOOL ,au muulize CR7View attachment 947230
Hhhhh eti wamuulize Cristiano...umenikumbusha katikati ya mwaka..
 
Sarri :'N'Golo Kanté should be moved to the defensive mid position, whether that means pushing Jorginho forward or playing a 4-2-3-1 with both Jorginho & Kanté partnered together. It's clear my system isn't really working, so it's worth playing Kanté in his natural position for now.

This is a coach that wants to improve ! 👏🔵
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom