Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Poleni sana watani zangu
Ndiyo soka lkn isha sema hapa mwaka huu undeni bado team hamuwezi shinda chochote kwa beki Luiz na Rudiger
Lkn mwakani mtakuwa title contenders mwaka huu bado hamna team
Nani sasa hapa bado hayaogopi Majogoo ya Anfield?
 
Zari footbal ndio basi tena! Au ni zari demu wa zamani wa diamond?

Anyway kigogo atabaki ni majogoo wa jiji tu, city siku zake zinahesabika
 
 Sarri.jpg


Kwa Wale Wasiofahamu maana ya Sarri basi ndiyo hili vazi la Kihindi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom