Leo Joginho hayumo? 😀😀
Na wamepigwa la tatu.Chels fanyen kama mnajikuna mpigwe lingine![]()
Namtafuta sana huyu jamaa sijui kajificha wapi?Mkuu Eden Kimario tunaomba utuletee yale masufuria ya kupikia Msibani
Msiba wa leo umeshakuwa mkubwa wanakamati wote mjipange vizuri kuwadaka wafiwa na kuwamwagia maji watakao zimia
Mkuu Ollachuga
Mkuu Southern Highlands
Mkuu Jasho La Kuku
Tunaomba mtuandikie historia fupi ya Marehemu .......... Marehemu alikuwa anasumbuliwa na nini Marehemu alikuwa mtu wa namna gani.
Ya Mkeka Tena"Walisema haolewi.........kaolewaaaaa"