Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Luna Kitu Kimoja Wale Wanaofatilia Ligi ya EPL itabidi wakifahamu.
"EPL Ni MARATHON inahitaji Uconserve energy pale unapoanza ili umalize na Energy yako"
Sasa Kuna Washabiki Wameanza Kumjudge Joginho kuwa anaanza kuwa tatizo.
Ukweli Ni Kwamba Wazoefu Wa EPL kina Hazard, Kante, Fabi, Luis na wengine walishindwa Kumwambia Kuwa EPL Ni MARATHON sio SERIE A. Kwahiyi ahifadhi Energy Yake kwa Ajili ya Marathon.
Lakini Hawakumueleza Hatimae Alitumia Nguvu Nyingi Sana Mwanzoni mwa Ligi Kuwa Kucover eneo lake every inch na kubalance mchezo Wa Timu Nzima kiasi ya Kwamba Pasi zote za timu pinzani anazipiga peke Yake.
Hatimae amepoteza Energy na Kuchoka na ameanza tokea Mchezo vs Liverpool, Man U, na Jana Spurs.
Sasa cha Msingi Kocha Ampumzishe na abalance energy Yake baada ya 2 atarudi kwenye performance Yake.
Joginho si mbovu wala sio tatizo, Bali amechoka tu.
Anahitaji Kukumbushwa Kuwa EPL sio Italy Ni lazima atunze nguvu zake kama wanazofanya kina Kante.
"EPL Ni MARATHON inahitaji Uconserve energy pale unapoanza ili umalize na Energy yako"
Sasa Kuna Washabiki Wameanza Kumjudge Joginho kuwa anaanza kuwa tatizo.
Ukweli Ni Kwamba Wazoefu Wa EPL kina Hazard, Kante, Fabi, Luis na wengine walishindwa Kumwambia Kuwa EPL Ni MARATHON sio SERIE A. Kwahiyi ahifadhi Energy Yake kwa Ajili ya Marathon.
Lakini Hawakumueleza Hatimae Alitumia Nguvu Nyingi Sana Mwanzoni mwa Ligi Kuwa Kucover eneo lake every inch na kubalance mchezo Wa Timu Nzima kiasi ya Kwamba Pasi zote za timu pinzani anazipiga peke Yake.
Hatimae amepoteza Energy na Kuchoka na ameanza tokea Mchezo vs Liverpool, Man U, na Jana Spurs.
Sasa cha Msingi Kocha Ampumzishe na abalance energy Yake baada ya 2 atarudi kwenye performance Yake.
Joginho si mbovu wala sio tatizo, Bali amechoka tu.
Anahitaji Kukumbushwa Kuwa EPL sio Italy Ni lazima atunze nguvu zake kama wanazofanya kina Kante.