Unabishia mpaka stats mzeeUmeongea kiliverpool mno badala ya kuongea kandanda jinsi ilivyo
Yani tuliwazidi kila kitu ila bahati haikuwa upande wetu.angalia takwimu nani kajitahidi usiwe shabiki bendera fuata upepo
Wewe ndo una bahati maana ulikuja darajani kusaka draw.Mna bahati. Tungewanyonya damu.
![]()
Leo umekurupushwa unaandika utumbo. Nilisema kama tusipofanya makosa ya kijinga ndio tutaupata huo ushindi.Hongera Kwa 3 - 0
Nawapongeza Kwa Mashambulizi ya Kutisha Kwenye Keyboard
Wewe unapoandika wakati mwingine jaribu kuutuliza mwili na akili. Hii Sarriball haina hata miezi minne hajafanya usajili wa maana unaanza kujudge tuna concede magoli mengi.Ukweli Washabiki Wa Chelsea Wasiotaka Kuukubali.
Chelsea Kwenye EPL against Top 6:
• Chelsea 3 - 2 Arsenal (Home)
• Chelsea 1 - 1 Liverpool (Home)
• Chelsea 2 - 2 Man United (Home)
Sasa Umefunga Magoli 6 na Umeconcede Magoli 5 kwenye Uwanja Wa Nyumbani Ni ushahidi Tosha Kuwa Sarriball inafanya Kazi Kwa Midtable Teams na si Top 6 team.
Sasa Mfate Man U, Arsenal na Man City Kwenye Pitch zao za Nyumbani na Sarriball uone Mziki Wao.
Nikisoma mshabiki wa Liverpool Tanzania anayeiongelea epl nafurahi maana hajawai kuiona team yake ikibeba epl, labda YouTube na masimuliziLeo Mtaani Kuna Amani Kweli Manake Rant boys wameshaanza Kujijua Kuwa EPL is not all about Possession but Ni Marathon tena ya Kuviziana
Mkuu ungekua unasema haya tukiwa tumefungwa. Tumetoa draw na hatujapoteza game bado. Hehee kweli hater atabaki kuwa hater hata iwejeLeo Mtaani Kuna Amani Kweli Manake Rant boys wameshaanza Kujijua Kuwa EPL is not all about Possession but Ni Marathon tena ya Kuviziana
Dah nilikuwa naidharau sana Man united na kuona ni timu ya kujipigia tu.Kuna yule Ollachuga Oc yupo kwenye shuka nimemwambia usijiamini sana na timu yako unapocheza na timu kubwa muokozi dakika 6 goli la pili la martial classic sana
Very good my boy martial angalau umewaonyesha hawa magoli ya mguu yanavyofungwa subiriane hazard awe kwenye siku zake ndo mshinde mechi
Bila hivyo wazee wa magoli ya mipira iliyokufa sariball huna hata goli zuri???
Utoto huu chelsea muwe mnakuwa basi
View attachment 904978
Dirisha dogo january Morata out, Mauro Icardi in.
Huna timu ww mchana nlikuambia usiamin magalasa yakoDah nilikuwa naidharau sana Man united na kuona ni timu ya kujipigia tu.
Kumbe inaweza kupambana hata kutoa draw na Chelsea!!
Hongera sana mkuu, umefurahi sana maana hukutegemea.
Siyo kila time ambayo wewe upo online basi wote tutakuwepo.Leo Nadhani utaconfirm Kuwa Hawa Washabiki Wa Chelsea Ni Amateurs Wa 2010 hadi 2015..
Tazama Leo Wako Wapi hapa?
Sisi Tunafungwa na Hatukimbii Majukwaa..
Wao Wamedraw tu lakini Wameingia Mivunguni
Siku hizi unaropoka ropoka hovyo.Ukweli Washabiki Wa Chelsea Wasiotaka Kuukubali.
Chelsea Kwenye EPL against Top 6:
• Chelsea 3 - 2 Arsenal (Home)
• Chelsea 1 - 1 Liverpool (Home)
• Chelsea 2 - 2 Man United (Home)
Sasa Umefunga Magoli 6 na Umeconcede Magoli 5 kwenye Uwanja Wa Nyumbani Ni ushahidi Tosha Kuwa Sarriball inafanya Kazi Kwa Midtable Teams na si Top 6 team.
Sasa Mfate Man U, Arsenal na Man City Kwenye Pitch zao za Nyumbani na Sarriball uone Mziki Wao.
Hii inamaanisha nilipokutoboa nyumbani kwako alisimama Conte benchi.Nakuhakikishia Ukitoa Yule Arsenal Ambaye Alimuokota Akiwa Hajakaa Vizuri!! Basi Sarriball yao Kwenye EPL Haiifungi Timu yoyote ya Top 6 Nyumbani Kwao na Ugenini.
Sipendi huu utetezi wa refa sijui kafanya hiki na kile kwa sababu tukianza kuleta rekodi za marefa katika mechi za Chelsea na Man Utd wewe utakimbia.Kipindi cha timu yetu ilivyo mbovu kisha nakuja kwako nakutandaka bila jasho goli mbili za akili wakat wajua nna migogoro sasa wewe upo kwenye raha bado umeshindwa kuonesha ile raha uliyonayo unasubir had uamuzi wa refa kukunasua
Kwani wewe unamfunga/umemfuñga nani kwenye iyo top 6?Nakuhakikishia Ukitoa Yule Arsenal Ambaye Alimuokota Akiwa Hajakaa Vizuri!! Basi Sarriball yao Kwenye EPL Haiifungi Timu yoyote ya Top 6 Nyumbani Kwao na Ugenini.
Level yako arsenal tu nae sijui ilikuwaje siwez tena kuja hapa refa kaokoa misumali ya martial angalau kawaonyesha striker wenu jins ya kufunga magoli makali kwa miguuSipendi huu utetezi wa refa sijui kafanya hiki na kile kwa sababu tukianza kuleta rekodi za marefa katika mechi za Chelsea na Man Utd wewe utakimbia.
Kubali ulishindwa kulinda goli tukasawazisha.