Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

9 games ,14 points .. ningekuwa Mimi ningekaa kimya tu
Kipindi cha timu yetu ilivyo mbovu kisha nakuja kwako nakutandaka bila jasho goli mbili za akili wakat wajua nna migogoro sasa wewe upo kwenye raha bado umeshindwa kuonesha ile raha uliyonayo unasubir had uamuzi wa refa kukunasua
 
Kipindi cha timu yetu ilivyo mbovu kisha nakuja kwako nakutandaka bila jasho goli mbili za akili wakat wajua nna migogoro sasa wewe upo kwenye raha bado umeshindwa kuonesha ile raha uliyonayo unasubir had uamuzi wa refa kukunasua
Kwa hiyo sasa hivi timu yako iko vizuri?
 
Kwa hiyo sasa hivi timu yako iko vizuri?
Kwa kweli mwanga unaonekana kama ugenini naweza nikampa tabu mtu ambae alikuwa na mbio nzur kwa nini nisifurah?

Ukija hom si nakuumiza wewe
 
Ianni, Sarri na Mourinho, yameisha.!

Baada ya Ross Barkley kufunga goli la kusawazisha katika dikaka za majeruhi , kocha msaidizi wa Maurizio Sarri , Marco Ianni alitoka kwenye benchi lake na kwenda kushangalia mbele ya Jose Mourinho na kuibua tafrani katika eneo la ufundi.

" Sichukizwi na kitu chochote, kilichotokea na msaidizi wa Sarri , Sarri ndio alikuwa wa kwanza kuja kwangu na kuniambia kwamba atalifanyia kazi."

"Ianni ameshakuja kwangu na kuomba msamaha , nimemuambia sahau kuhusu hilo, hata mimi nilishafanya makosa mengi kwenye maisha yangu ya soka."
 
Kwa kweli mwanga unaonekana kama ugenini naweza nikampa tabu mtu ambae alikuwa na mbio nzur kwa nini nisifurah?

Ukija hom si nakuumiza wewe
Una mechi 6 zinazokuja zitafaa kabisa za kupima kama kweli uko vizuri
 
leta hizo stats zako now Mkuu
Match stats hizo hapo mkuu
Screenshot_20181020-163507.jpg
 
Matokeo tumeyakubali kabisa na ni halali kuyapata
Bado washambuliaji sisi hatuna
Inabidi tutafute striker ambaye ni Mauro Icard
 
Michezo 9, point 14 ,hapo Kuna cha kushangilia kweli ?
Mbona mimi naona Chelsea ndio wanashangilia mkuu?

Sisi Man u tumefungwa,wala hatufurahii haya matokeo maana tulistahili ushindi.
 
Ina maana chelsea wakicheza na cardif city au liverpool ndy sarriball inaonekana. Najiuliza kwann hazard hakupangwaa leo!! Kocha angetakiwa ampange hazatd mana cyo kwa dharau hizo hata bench hawekwii. Hazard kasaidia mech zilizopta hlf leo kweny mech muhim kaa hii humpangi hazard. Dunia inajua hazard ni chelsea
 
Ukweli Washabiki Wa Chelsea Wasiotaka Kuukubali.

Chelsea Kwenye EPL against Top 6:

• Chelsea 3 - 2 Arsenal (Home)
• Chelsea 1 - 1 Liverpool (Home)
• Chelsea 2 - 2 Man United (Home)

Sasa Umefunga Magoli 6 na Umeconcede Magoli 5 kwenye Uwanja Wa Nyumbani Ni ushahidi Tosha Kuwa Sarriball inafanya Kazi Kwa Midtable Teams na si Top 6 team.

Sasa Mfate Man U, Arsenal na Man City Kwenye Pitch zao za Nyumbani na Sarriball uone Mziki Wao.
Umeongea kiliverpool mno badala ya kuongea kandanda jinsi ilivyo
 
Liverpool ameshapokea kichapo kutoka kwa chelsea msimu huu kwa hiyo Liverpool hana cha kujisifia mbele ya chelsea
 
Ina maana chelsea wakicheza na cardif city au liverpool ndy sarriball inaonekana. Najiuliza kwann hazard hakupangwaa leo!! Kocha angetakiwa ampange hazatd mana cyo kwa dharau hizo hata bench hawekwii. Hazard kasaidia mech zilizopta hlf leo kweny mech muhim kaa hii humpangi hazard. Dunia inajua hazard ni chelsea
Thubutu, kwa liver hakukuwa na sarriball, nenda kaangalie statistics utaona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom