Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Attachments

  • Screenshot_20181020-163035.jpg
    Screenshot_20181020-163035.jpg
    59.2 KB · Views: 27
Chelsea mnamdharu sana morinho..mmesahay yeye ndo amewaweka kwny ramani
 
Kudroo na Man Utd ni kitu ambacho timu yoyote kati ya Top 3 haiwezi kulalamikia, kwa sababu pamoja na masahibu Man Utd aliyonayo anaweza kumfunga yeyote kwenye Ligi.

So mimi nachukulia hii draw kama ni matokeo mazuri kwa Chelsea kwa sababu anaendelea kuwa jirani na mabingwa watarajiwa (haachwi mbali).
 
Leo ushindi nauona wazi wazi tena wa clean sheet ila tu kama tutafanya makosa kwenye back line tumeumia. Rashford na moto wake timu ya taifa sidhani kama anweza kufanya ajizi kwa uzembe wa kijinga jinga.

Kwenye midfield sina shaka kabisa Jorginho yupo good, Kante inafahamika ila bado sina uhakika kati ya Kova na Barkley yupo vizuri zaid kiafya. Japo nilisikia injury hazikua serius sana. Kwangu ninaomba aanze Barkley then Kova badae aingie.

Kwenye ushambuliaji nako kunahitaji umakini sana naona Sarri bora aendelee kumuamini Giroud zaidi ya Morata. Kwa wing ya kulia Willian bado hajakaa sawa kiufundi so hakuna namna ni heri aanze Pedro then kushoto the man him self Hazard.

Leo hakuna cha Scot, Degea wala Pogba. Kama hakutakua na uzembe uzembe naamini hata 3-0 anakaa darajani huyu shetani.

Holla Blues!!!

Hongera Kwa 3 - 0
Nawapongeza Kwa Mashambulizi ya Kutisha Kwenye Keyboard
 
MINILISEMA SARRI KATULETEA MPIRA MWEPESI SANA YANI MAN U NAUDHAIFU WAO TUNALAZIMISHA DROO KWELI WAKUU
 
Maurizio Sarri is the first manager in Chelsea’s history to remain unbeaten in his first nine Premier League games in charge.

A dramatic way for it to happen. 😳
 
Chelsea - Man United thoughts:

- Morata can’t start again
- Martial - Willian swap was needed
- Luiz & Alonso truly exposed on D
- Kanté had the best effort = Shock
- Jorginho good 1st, not great 2nd
- Kovačić not bad, but no goal threat
- Hazard wasn’t great
 
Ukweli Washabiki Wa Chelsea Wasiotaka Kuukubali.

Chelsea Kwenye EPL against Top 6:

• Chelsea 3 - 2 Arsenal (Home)
• Chelsea 1 - 1 Liverpool (Home)
• Chelsea 2 - 2 Man United (Home)

Sasa Umefunga Magoli 6 na Umeconcede Magoli 5 kwenye Uwanja Wa Nyumbani Ni ushahidi Tosha Kuwa Sarriball inafanya Kazi Kwa Midtable Teams na si Top 6 team.

Sasa Mfate Man U, Arsenal na Man City Kwenye Pitch zao za Nyumbani na Sarriball uone Mziki Wao.
 
Kuna Kale Kapost Flani cha Hazard alichotembeza Mkwala Kwa Herrera sijui Kameishiaje...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom