Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Hii inamaanisha nilipokutoboa nyumbani kwako alisimama Conte benchi.
Katika Post Yangu uliyoiquote labda unipe tafsiri ya Neno EPL.
Hii inamaanisha nilipokutoboa nyumbani kwako alisimama Conte benchi.
Siyo kila time ambayo wewe upo online basi wote tutakuwepo.
Katika Post Yangu uliyoiquote labda unipe tafsiri ya Neno EPL.
Uyo jamaa now days ana andika kipuuzi puuzi ..points zake nyingi ukizisoma utaona kabisa kuna something wrong kwenye ubongo wake..Wewe unapoandika wakati mwingine jaribu kuutuliza mwili na akili. Hii Sarriball haina hata miezi minne hajafanya usajili wa maana unaanza kujudge tuna concede magoli mengi.
Tulia dawa yenu bado inazidi kuchemka. Tupo kujenga kwanza. Uanze kujudge baada ya msimu huu kuisha.
Hahaha kwaiyo wewe ndo una timu mkuu.Huna timu ww mchana nlikuambia usiamin magalasa yako
Eti mkuu radikaUme draw tu unasumbua hivi ..ungeshinda je!?
Uyo baada ya timu yake kupata majeruhi amekuwa kama kichwa za mwendawazimu.Hii inamaanisha nilipokutoboa nyumbani kwako alisimama Conte benchi.
Hii comment ina shusha thamani ya kile nilichokijenga juu yako. Unaonesha wewe ni mtu wa aina gani. Hili jibu niliwahi kumpa jamaa mmoja wa Liverpool nakuambia na wewe hivi 'sijawahi kujilinganisha wala kujiweka level sawa na wewe' komaa na wa level yako nami nakomaa na level yangu.Level yako arsenal tu nae sijui ilikuwaje siwez tena kuja hapa refa kaokoa misumali ya martial angalau kawaonyesha striker wenu jins ya kufunga magoli makali kwa miguu
Mtafute mshabik wa arsenal mm sio level yako upo nyumban unashangilia suluhu???
View attachment 905202
Haya ni mawazo yako pia. Kwa mfano mimi ilipofika dkk ya 80 simu iliisha chaji kwa hiyo sikuangalia kabisa dkk zilizosalia nikaweka charge mpk muda nimeingia JF hata game ilikua imeshaanza.Lakini Ukishinda Muda Wote Kuwa Online inawezekana
Wakubwa karibuni kwenye uzi wa Liverpool kule .........
(MNASHANGILIA DRAW )
Timu mbovu ya Liverpool, haitafika mbali, wiki ijayo tu mtaanza kuchana mikeka ovyoHongera Kwa 3 - 0
Nawapongeza Kwa Mashambulizi ya Kutisha Kwenye Keyboard