Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Leo Mtaani Kuna Amani Kweli Manake Rant boys wameshaanza Kujijua Kuwa EPL is not all about Possession but Ni Marathon tena ya Kuviziana
Kuna yule Ollachuga Oc yupo kwenye shuka nimemwambia usijiamini sana na timu yako unapocheza na timu kubwa muokozi dakika 6 goli la pili la martial classic sanaUkweli Washabiki Wa Chelsea Wasiotaka Kuukubali.
Chelsea Kwenye EPL against Top 6:
• Chelsea 3 - 2 Arsenal (Home)
• Chelsea 1 - 1 Liverpool (Home)
• Chelsea 2 - 2 Man United (Home)
Sasa Umefunga Magoli 6 na Umeconcede Magoli 5 kwenye Uwanja Wa Nyumbani Ni ushahidi Tosha Kuwa Sarriball inafanya Kazi Kwa Midtable Team na si Top 6 team.
Sasa Mfate Man U, Arsenal na Man City Kwenye Pitch zao na Sarriball uone Mziki Wao.
Hahahha walipotoa suluhu na nyie tena kwao walichonga sana kila muda kuvamia kwa watu tunawaambia mlietoa nae suluhu mlikuwa kwenu lakin kwa nini mshangilie???Leo Mtaani Kuna Amani Kweli Manake Rant boys wameshaanza Kujijua Kuwa EPL is not all about Possession but Ni Marathon tena ya Kuviziana
Mkuu haya ni masihara unaleta,! Always mechi na man utd hata iwe mbovu VP haijawahi kuwa rahisi hata kidogo!MINILISEMA SARRI KATULETEA MPIRA MWEPESI SANA YANI MAN U NAUDHAIFU WAO TUNALAZIMISHA DROO KWELI WAKUU
Hahahha walipotoa suluhu na nyie tena kwao walichonga sana kila muda kuvamia kwa watu tunawaambia mlietoa nae suluhu mlikuwa kwenu lakin kwa nini mshangilie???
Tatizo walitangaza vita bila kujua siraha za adui suluhu yenu iliwapa nguvu sana na vile wamemfumua cardiff mammama weeeLeo Nadhani utaconfirm Kuwa Hawa Washabiki Wa Chelsea Ni Amateurs Wa 2010 hadi 2015..
Tazama Leo Wako Wapi hapa?
Sisi Tunafungwa na Hatukimbii Majukwaa..
Wao Wamedraw tu lakini Wameingia Mivunguni
Mkuu haya ni masihara unaleta,! Always mechi na man utd hata iwe mbovu VP haijawahi kuwa rahisi hata kidogo!
Na leo atafunga pia ..
Maana gemu ishakuwa nyepes..
Tukiangolea ki mpira mnahitaj wachezaj watatu wa mbele wazur willian kiwango hakielewek morata na giroud ni kamali tu siraha yenu ni hazard tu angalia europa anapopumzika mnavyohangaika kupata ushindiMkuu haya ni masihara unaleta,! Always mechi na man utd hata iwe mbovu VP haijawahi kuwa rahisi hata kidogo!
Tatizo walitangaza vita bila kujua siraha za adui suluhu yenu iliwapa nguvu sana na vile wamemfumua cardiff mammama weee
Kabisa mkuu hili hata mimi nimeligundua na ukiangalia gemu ya arsenal uzembe mikh na auba hawa walikuwa wanakufaNakuhakikishia Ukitoa Yule Arsenal Ambaye Alimuokota Akiwa Hajakaa Vizuri!! Basi Sarriball yao Kwenye EPL Haiifungi Timu yoyote ya Top 6 Nyumbani Kwao na Ugenini.
Wakicheza na cardifIle SARRIBALL leo sijaiona kabisa
Naona mmjezana humu kushangilia draw
Michezo 9, point 14 ,hapo Kuna cha kushangilia kweli ?Usiwaseme vibaya wenzako,wameponea chupuchupu. Ni haki yao kushangilia japo najua hawawezi kumfikia kocha wao mvuta bangi.
9 games ,14 points .. ningekuwa Mimi ningekaa kimya tu