Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Zola says both Hudson-Odoi & Ampadu are in contention for tomorrow #cfc
Huyu ni mzee wa comedy kama ulikuwa hujui kuliko wachezaji wote wa chelsea so angebeba tu
Nataka nikubaliane na wewe lakini nimekupuuzaSi sababu ya Uafrica!
Ukweli Usiofichika Ni Kuwa wanaoiendesha FIFA Ni Watu Wawili ambao Wanaushawishi Mkubwa Sana Katika Soka.
Nao Ni Perez na Yule Raisi Wa Barcelona.
Na Ndiyomana Maamuzi yote ya FIFA yanakuja in their Favor...
Mfano mdogo angalia Hizi Tunzo anazopewa Modric kuanziwa UEFA mpaka FIFA hioni Kuwa Ni Staged hizi kama Ni Mpango unaosukwa Kwa Makusudi Kumuangusha Ronaldo?
Mimi Si Mshabiki Wa Ronaldo lakini Ukweli upo wazi Kuwa Real Last season ilikuwa Katika hali mbaya Kiasi ya Kwamba Ronaldo Katumia Jitihada zake Binafsi Kuwavuusha Real kutoka hatua ya Makundi Mpaka Kubeba Kombe (Refer mechi vs PSG, Juve na Bayern)..
Kwahiyo Alistahiki Kubeba Balon D'OR na Tunzo hizo anazobambikiziwa Modric kila Leo.
Sasa Hapo Ni Wazi Perez na FIFA Yake anamkomoa Ronaldo Kwa Kuhama Real na Ndiyo mana Ballon D'OR inamsubiri Modric.
Na Nakuhakikishia Siku Hazard, Neymar au Mbappe atakapohamia Real Basi Hizi Tunzo zote Watabeba ikiwemo Ballon D'OR Kwa Viwango hivihivi walivyonavyo sasa ambavyo hawaambulii kitu.
Nataka nikubaliane na wewe lakini nimekupuuza
Modric alikuwa na kila kitu kuliko Ronaldo hasa alipompiga chenga Ronaldo ni kwenye kombe la dunia
Sasa utasemaje ni kwa sababu aliondoka madrid ndio kanyimwaWe are not talking about Wedi Kap man.
It took Chelsea just 10 years to have 5 league titles. I hove in 2028 we will be having a different story. Kuna timu makombe wanaishia kuyasoma kwenye magazeti na mitandao na kusimuliwa na babu zao kwamba ticha yao ishabeba vikombe. Alafu bila aibu utaskia mtu kama huyo anasema we have 18 titlesChelsea since 1905
1 UEFA CL title, 5 league titles![]()
World cup team inaundwa na walioperform vizuri kwenye WC zaidi ya timu zao. Kama mchezaji ni mzuri kwenye timu yake lakini National Team yake haikufika mbali ni very rare sana kuwepo kwenye list. Wengi wao wa hiyo WC team, timu zao zilifika aidha fainali, nusu fainali na wachache robo fainali, very rare case group of 16. Timu zote zilizoishia kwenye makundi au hazikushiriki kabisa kombe la dunia hawapo.Mimi Kwenye Kikosi Cha FIFA Makosa niliyoyaona Ni Haya:
1) Dany Alves Last season Hakuwa na Msimu Mzuri (Kwani alitawaliwa na injury karibia Msimu Mzima).. Kwahiyo Hakustahiki Kuwemo.
Nafasi Ya Namba 2 ina Haki Ya Kwenda Kwa Carvahjal au Kimici (Not sure about spelling) Wa Bayern Kwani Walikuwa na Msimu Mzuri last Season.
2) Hazard Nakubali Kuwa Ni Mchezaji Mzuri Ambaye Mimi Binafsi Nampa Nafasi Bora ya Nne Duniani Nyuma ya Messi, Ronaldo na Neymar lakini Kiukweli Last Season Hakuwa na Msimu Mzuri yeye Binafsi pamoja na Timu, Kwahiyo Kwa Msimu uliopia Hakustahiki Kuingia Kwenye Hichi Kikosi (Hapa sijaoongelea Ushabiki).
3) Na Kuhusu Salah Ni Kweli Msimu Huu Hayuko Kwenye Form Lakini Hichi Kikosi Si Cha Msimu Huu ambao Ndiyo Kwanza Unaanza! Hichi Ni Cha Msimu Uliomalizika.. Na Msimu Uliomalizika Ukweli Ni Kwamba Salah Alicheza Vizuri na Alistahiki Kuwepo Katika Hichi Kikosi Hasa Ukiangalia Stats Zake Kwenye Ligi ya EPL (Kafunga Magoli 32) na Kwenye CL (Kafunga Magoli 10) zilikuwa Zipo Juu Kuliko Hao Kina Mbappe na PSG Yake.
4) Na Casemiro Nayeye alistahiki Kuwemo Kwenye Hichi Kikosi.
5) Na kuhusu De Gea & Court Hapo Ndiyo Utata Mtupu.
NOTE: Jamani Musijesema Salah sasahivi Hajafanya Kitu! Hichi Kikosi Ni Performance za Msimu Uliomalizika Wa 2017/18 na Si za Msimu Huu tulionao Wa 2018/19.
Tukubaliane tu hizi ni porojo za mitandaoni. Yeye nani aachiwe FIFA. Tafiti kuna vigezo na taratibu wazi za kuwapigia kura wahusika mpaka wafikie kwenye kutunukiwa nishani. KUNA TARATIBU NA RULES AMBAZO ZIKO TRANSPARENT. isingekuwa hivyo watu wangeisusiaSi sababu ya Uafrica!
Ukweli Usiofichika Ni Kuwa wanaoiendesha FIFA Ni Watu Wawili ambao Wanaushawishi Mkubwa Sana Katika Soka.
Nao Ni Perez na Yule Raisi Wa Barcelona.
Na Ndiyomana Maamuzi yote ya FIFA yanakuja in their Favor...
Mfano mdogo angalia Hizi Tunzo anazopewa Modric kuanziwa UEFA mpaka FIFA hioni Kuwa Ni Staged hizi kama Ni Mpango unaosukwa Kwa Makusudi Kumuangusha Ronaldo?
Mimi Si Mshabiki Wa Ronaldo lakini Ukweli upo wazi Kuwa Real Last season ilikuwa Katika hali mbaya Kiasi ya Kwamba Ronaldo Katumia Jitihada zake Binafsi Kuwavuusha Real kutoka hatua ya Makundi Mpaka Kubeba Kombe (Refer mechi vs PSG, Juve na Bayern)..
Kwahiyo Alistahiki Kubeba Balon D'OR na Tunzo hizo anazobambikiziwa Modric kila Leo.
Sasa Hapo Ni Wazi Perez na FIFA Yake anamkomoa Ronaldo Kwa Kuhama Real na Ndiyo mana Ballon D'OR inamsubiri Modric.
Na Nakuhakikishia Siku Hazard, Neymar au Mbappe atakapohamia Real Basi Hizi Tunzo zote Watabeba ikiwemo Ballon D'OR Kwa Viwango hivihivi walivyonavyo sasa ambavyo hawaambulii kitu.
Zile tunaziita Pasi Zisizo na Madhara!
• Unapiga Pasi 200 per game
× Lakini Zero Shot (On Target)
× Zero Assist
× Zero Goal
× Zero Key Pass
• Then Fanboys Wake Wanakuja Kujisifia na useless stats zake 😀😀😀
Si bora Mzee wetu Milner Pasi 20 per game lakini Assists Kibao pamoja na Key Passes za Kumwaga.
Apo na yeye kasoma historia tu hajawai kushuhudia tangu kuzaliwa kwake iyo timu ikibeba nayo makombe...It took Chelsea just 10 years to have 5 league titles. I hove in 2028 we will be having a different story. Kuna timu makombe wanaishia kuyasoma kwenye magazeti na mitandao na kusimuliwa na babu zao kwamba ticha yao ishabeba vikombe. Alafu bila aibu utaskia mtu kama huyo anasema we have 18 titles
Ata waliochukua kuanzia msimu uliopita kwenda nyuma nao ni historiaApo na yeye kasoma historia tu hajawai kushuhudia tangu kuzaliwa kwake iyo timu ikibeba nayo makombe...
Kipa atakuwa CaballeroMy preferred team for the #CFC vs #LFC game today:
Kepa
Zappa Christensen Ampadu Emerson
Fabregas
Barkley Kante
CHO Morata Moses
Thought