Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
Hii ni Homa tu juu ya mapambano mawili yajayo dhidi ya Liverpool. Nafurahi mkianza kutengeneza visababu maana siku hiyo hamkawii kuja kuchukua hizi post kama reference ya kujitetea.Mabeki wetu Alonso na Luiz wanazngua sana. Beki wetu bora Rudiger kaumia. RW wetu Pedro kaumia. Willian ni wa kutokea sub. Emerson na Christensen waanze jumatano
