Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mabeki wetu Alonso na Luiz wanazngua sana. Beki wetu bora Rudiger kaumia. RW wetu Pedro kaumia. Willian ni wa kutokea sub. Emerson na Christensen waanze jumatano
Hii ni Homa tu juu ya mapambano mawili yajayo dhidi ya Liverpool. Nafurahi mkianza kutengeneza visababu maana siku hiyo hamkawii kuja kuchukua hizi post kama reference ya kujitetea.
 
Jorginho bana highest ya number of pass lakini Assist ni 0 ........... Ndugu zangu wa Sari ball ni bora midfielder acheze pass hata 30 with Assist kuliko kuwa na kiungo anayecheza pass 200 without Assist ni mzigo.
 
Jorginho bana highest ya number of pass lakini Assist ni 0 ........... Ndugu zangu wa Sari ball ni bora midfielder acheze pass hata 30 with Assist kuliko kuwa na kiungo anayecheza pass 200 without Assist ni mzigo.

Zile tunaziita Pasi Zisizo na Madhara!

• Unapiga Pasi 200 per game
× Lakini Zero Shot (On Target)
× Zero Assist
× Zero Goal
× Zero Key Pass

• Then Fanboys Wake Wanakuja Kujisifia na useless stats zake 😀😀😀

Si bora Mzee wetu Milner Pasi 20 per game lakini Assists Kibao pamoja na Key Passes za Kumwaga.
 
Zile tunaziita Pasi Zisizo na Madhara!

• Unapiga Pasi 200 per game
× Lakini Zero Shot (On Target)
× Zero Assist
× Zero Goal
× Zero Key Pass

• Then Fnaboys Wake Wanakuja Kujisifia na useless stats zake 😀😀😀

Si bora Mzee wetu Milner Pasi 20 per game lakini Miassists Kibao pamoja na Key Passes.
Hebu chungulia hapo
Screenshot_20180923-172556.jpg
 
Zile tunaziita Pasi Zisizo na Madhara!

• Unapiga Pasi 200 per game
× Lakini Zero Shot (On Target)
× Zero Assist
× Zero Goal
× Zero Key Pass

• Then Fanboys Wake Wanakuja Kujisifia na useless stats zake 😀😀😀

Si bora Mzee wetu Milner Pasi 20 per game lakini Assists Kibao pamoja na Key Passes za Kumwaga.
Key passes
 

Attachments

  • Screenshot_20180924-120450.png
    Screenshot_20180924-120450.png
    33.7 KB · Views: 25
Pellegrini: "Chelsea had a lot of possession because we allowed them to, we wanted them to play on the right and not Alonso or Hazard. The second we maybe lost too many balls. I think the draw is not a bad point."

He's right, our right side isn't dangerous enough.
 
Hii ni Homa tu juu ya mapambano mawili yajayo dhidi ya Liverpool. Nafurahi mkianza kutengeneza visababu maana siku hiyo hamkawii kuja kuchukua hizi post kama reference ya kujitetea.
Game ijayo Chelsea vs Liverpool kwenye kombe Carabao itaoneshwa na king'amuzi gani
 
Key passes
Sasa na wewe unaleta vichekesho kweli

Huyo jogihno wenu kapiga passes 180

Out of 180 passes only 3 key passes were completed!

sasa twende kimahesabu madogo tu.

=(3/180)x100=1.66%

na ndio maana king Ngwaba anakwambia huyo jogihno wenu anapiga useless passes!

mathematically lazima ukubaliane naye!

hapo hakuna mjadala kaka! Period!

Jogihno is crap!!!!
 
Sasa na wewe unaleta vichekesho kweli

Huyo jogihno wenu kapiga passes 180

Out of 180 passes only 3 key passes were completed!

sasa twende kimahesabu madogo tu.

=(3/180)x100=1.66%

na ndio maana king Ngwaba anakwambia huyo jogihno wenu anapiga useless passes!

mathematically lazima ukubaliane naye!

hapo hakuna mjadala kaka! Period!

Jogihno is crap!!!!
Deep lying midfielder anacheza juu ya mabeki. Halafu unataka hvyo. We mlete mchezaji wako wa liver
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom