eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
King ngwaba na malafyale hili litawaumiza sana Kichwa
King ngwaba na malafyale hili litawaumiza sana Kichwa View attachment 873189
Ndio ulichobakia nacho tu sasa hivi kujisifia historiaItakuchukuwa Miaka 300 kufikia idadi ya 18 niliyonayo.
Najua utasema Sijabeba Hata Moja Kwasababu unachoamini wewe Mpira Uengereza Umeanzishwa Mwaka 1992, Kabla Ya Hapo Waingereza Walikuwa Hawana Ligi Wala Hawachezi Mpira.
Bado hajiamini sana akiwa under pressure...but he is good.Andreas Christensen vs PAOK
95 passes made
95% pass accuracy
4 tackles won
2 interceptions
3 aerial duels won
2/3 accurate long balls
Bado hajiamini sana akiwa under pressure...but he is good.
Magoli ya Genk, moja la Samata
Magoli ya Genk, moja la Samata
Odoi na Ampadu alishasema ana mipango nao hivyo atawatumia tu kuna carabao na FA piaSikuona sababu Jana kwa nn sarri hakuwapa chance akina Odoi, Ampadu, Loftus Cheek wacheze. Tunaji risk sana kwa mfano Pedro aliumia mkono lakn siyo serious
Bado ana kazi ya kufanya mbele ya rudiger na LuizAwe aggressive na nadhan ana kosa confidence sababu anataka kumridhisha kocha. Ndo maana pass zake zilikuwa fupi na nyingi zilirudi nyuma. Tofauti na Rudiger ana pass za mbele na long.
Nafikiri Morata ana tatizo la kisaikolojia kama hawezi wacha tuende na GiroudNiseme neno kwa Alvaro Morata. "Amekuwa Sikio la kufa..."
Nafasi nzuri kama nne au tano kazipoteza zote
Morata hata akibaki na goli ataokoa tu, mark my words
Kuna pasi moja aliipata hata kwa tumbo angefunga yeye akaipaiza
Vitu vinne vinamuondolea Morata confidence na zote zimefungwa katika bei yake ya kunuliwa ambayo kwa kweli haiendani naye
Yote hayo zimempa pressure ambayo kwa kweli imemlemea na hataweza tena kufanya vizuri akiwa Chelsea
- Bei yake kubwa inampa pressure ya kufunga magoli mengi
- Matazamio ya mashabiki ya ufungaji wa magoli kutoka kwake
- Matazamio ya ufungaji wa magoli kutoka kwake
- Matazamio ya ufungaji wa magoli kutoka kwake
Ni vyema uongozi wa Chelsea wakamuuza au kumtoa kwa mkopo ili akaanze upya huko
CORECTIONNiseme neno kwa Alvaro Morata. "Amekuwa Sikio la kufa..."
Nafasi nzuri kama nne au tano kazipoteza zote
Morata hata akibaki na goli ataokoa tu, mark my words
Kuna pasi moja aliipata hata kwa tumbo angefunga yeye akaipaiza
Vitu vinne vinamuondolea Morata confidence na zote zimefungwa katika bei yake ya kunuliwa ambayo kwa kweli haiendani naye
Yote hayo zimempa pressure ambayo kwa kweli imemlemea na hataweza tena kufanya vizuri akiwa Chelsea
- Bei yake kubwa inampa pressure ya kufunga magoli mengi
- Matazamio ya mashabiki ya ufungaji wa magoli kutoka kwake
- Matazamio ya ufungaji wa magoli kutoka kwake
- Matazamio ya ufungaji wa magoli kutoka kwake
Ni vyema uongozi wa Chelsea wakamuuza au kumtoa kwa mkopo ili akaanze upya huko