Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Hapa nina hamu tu dogo Odoi aingie..whether tumeshinda au hatujashinda.SabstitutesView attachment 878815
Hapa nina hamu tu dogo Odoi aingie..whether tumeshinda au hatujashinda.SabstitutesView attachment 878815
Ampadu hata bench hajawekwaHapa nina hamu tu dogo Odoi aingie..whether tumeshinda au hatujashinda.
Namkubali sana CHO kuliko Ampadu.Ampadu hata bench hajawekwa
Lakini wanacheza nafasi tofautiNamkubali sana CHO kuliko Ampadu.
Naelewa hilo.Lakini wanacheza nafasi tofauti
Ampadu beki au kiungo
Nyani haoni kundule sio.Kocha Wenu anajifanya Mjanja sio Kumtegesha Hazard, Joginho na Kante Kwenye Benchi?
Robo saa ijayo.Saa ngapi wadau
Sisi wa SuperSports ni ipi kabla sijavunja hii rimoti hapaRobo saa ijayo.
Daaaaah mkuu hujainyaka link yeyote ?Hakuna...stream online.
Sky sport main eventsHakuna...stream online.
Sijui kwa nini JF hakuna sehemu ya dislike. Hivi ni wewe ndiye uliyeandika hapa..?Si sababu ya Uafrica!
Ukweli Usiofichika Ni Kuwa wanaoiendesha FIFA Ni Watu Wawili ambao Wanaushawishi Mkubwa Sana Katika Soka.
Nao Ni Perez na Yule Raisi Wa Barcelona.
Na Ndiyomana Maamuzi yote ya FIFA yanakuja in their Favor...
Mfano mdogo angalia Hizi Tunzo anazopewa Modric kuanziwa UEFA mpaka FIFA hioni Kuwa Ni Staged hizi kama Ni Mpango unaosukwa Kwa Makusudi Kumuangusha Ronaldo?
Mimi Si Mshabiki Wa Ronaldo lakini Ukweli upo wazi Kuwa Real Last season ilikuwa Katika hali mbaya Kiasi ya Kwamba Ronaldo Katumia Jitihada zake Binafsi Kuwavuusha Real kutoka hatua ya Makundi Mpaka Kubeba Kombe (Refer mechi vs PSG, Juve na Bayern)..
Kwahiyo Alistahiki Kubeba Balon D'OR na Tunzo hizo anazobambikiziwa Modric kila Leo.
Sasa Hapo Ni Wazi Perez na FIFA Yake anamkomoa Ronaldo Kwa Kuhama Real na Ndiyo mana Ballon D'OR inamsubiri Modric.
Na Nakuhakikishia Siku Hazard, Neymar au Mbappe atakapohamia Real Basi Hizi Tunzo zote Watabeba ikiwemo Ballon D'OR Kwa Viwango hivihivi walivyonavyo sasa ambavyo hawaambulii kitu.
Iko haftime nil..Sisi wa SuperSports ni ipi kabla sijavunja hii rimoti hapa