Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hujakosea mkuu bado beki kati ya rudiger na Luiz ina matobo hasa Luiz simwamini kabisa
Kuna wakati alikuwa anaenda mpaka katikati ya kiwanja sijui nyuma huko alimwacha nani na ndio maana nasema tukikutana na team yenye counter attack yenye kasi tunafungwa kirahisi sana

E&K
Usiwe na wasi wasi mkuu, Kepa ni mzuri sana kuzuia counter attack, ata ukiangalia alivyokua athletic b, alwasaidia sana kwenye counter za hatar.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa nawashangaa makocha wala sio Sari tu. saa nyingine wana mapenzi binafsi na mchezaji hata kama hapaform. Conte kwa Bakayoko na sasa Sari kwa Morata. Girou ni mchezaji mwenye nguvu, stamina na ana uwezo wa kucheza agressively mipira ya juu na chini WHY Sari? kwa nini humpi Girou nafasi ya kwanza?
 
Mbona wewe huwa huleti takwimu za +90mins unazileta hizi mwanzoni. Pia uwe unatuletea na za timu yako kama wewe ni mchambuzi wa soka la kiukweli

Huu Ni Uzi Wa Chelsea! Kwahiyo lazima Niuheshemu! Siwezi Kueka Habari za Liverpool Hapa Bali Nitaweka Habari Zinazohusiana na Chelsea tu pamoja na Matani Madogomadogo.

Habari Za Liverpool Nitaziweka Katika Uzi Wa Liverpool na Si Hapa.
 
Huu Ni Uzi Wa Chelsea! Kwahiyo lazima Niuheshemu! Siwezi Kueka Habari za Liverpool Hapa Bali Nitaweka Habari Zinazohusiana na Chelsea tu pamoja na Matani Madogomadogo.

Habari Za Liverpool Nitaziweka Katika Uzi Wa Liverpool na Si Hapa.
Liverpool mpaka fulltime walipiga pasi 400

E&K
 
Tuwe tunabishana kwa takwimu
Katika mechi ya Liverpool na Crystal Palace alikuwa na short on target 2 tu
Mpaka leo baada ya mechi nne
Liverpool SOT 23
Chelsea SOT 23
Sasa hawa mashabiki wa Liverpool wanamfuatilia Sari na kudharau shorts za Chelsea, kweli nyani haoni kundule.
Kwa mechi hizi nne inaonekana kuwa Liverpool sio ile tuliofikiri kwamba watakuwa na kasi kubwa na shorts nyingi kwa sababu ya strikers wao walivyo na uwezo mkubwa. Kumbe tulikuwa tumekosea, Liverpool is as weak as Chelsea na saa nyingine Chelsea is far better than Liverpool
 
Sarri on Morata and Giroud: "It depends on the situation on the pitch. At the moment we had three or four or five plans on the pitch. We called on Giroud because it was his moment on the pitch. Maybe Alvaro needs more space, but Giroud is very useful" #CFC #CHEBOU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hazard: "I like to have the ball. Not in my own half, but in the last 30 metres. I like this type of game. It's completely different than Antonio Conte or (Jose) Mourinho before. We have more ball so for me, it's not bad." #cfc

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha msingi ili nijue kweli anafurahia stayle mpya za sarriball kuliko conte na mourinho asaini mkataba mpya

E&K
 
Cha msingi ili nijue kweli anafurahia stayle mpya za sarriball kuliko conte na mourinho asaini mkataba mpya

E&K
Hazard anafurahia maisha kwa sasa kutokana na style of play, anacheza katika mfumo ambao anapendelea zaidi kucheza swala la ku-sign mkataba mpya ni case nyengine kabisa kumbuka club inayomtaka ni moja kati ya club kubwa zaidi duniani na kila mchezaji anatamani kwa wakati fulani katika maisha yake ya soka achezee walau moja ya club hizo.
Naamini huu utakuwa msimu wake wa mwisho Chelsea japo ningependa aendelee kuwepo.
 
Hazard anafurahia maisha kwa sasa kutokana na style of play, anacheza katika mfumo ambao anapendelea zaidi kucheza swala la ku-sign mkataba mpya ni case nyengine kabisa kumbuka club inayomtaka ni moja kati ya club kubwa zaidi duniani na kila mchezaji anatamani kwa wakati fulani katika maisha yake ya soka achezee walau moja ya club hizo.
Naamini huu utakuwa msimu wake wa mwisho Chelsea japo ningependa aendelee kuwepo.
Kwangu mimi ni bora angesepa msimu huu tu

E&K
 
Goli la Mo Salah dhidi ya Everton lipo kati ya magoli yanayowania tuzo ya FiFA ya Puskas pia Salah anawania tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa FIFA 2018.

Mashabiki wote wa Liverpool na wapenda mpira wa ukweli fuata link hii kisha chagua Mo Salah. Anaejua mpira anastahili

The Best FIFA Football Awards - FIFA.com
IMG_20180903_190805_909.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom