Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Michuano Kama Europa unachezesha kikosi cha pili chote wakishindwa kuingia final shauri yao
 
Kikosi kinachoanza leo
Screenshot_20180901-162220.jpg


E&K
 
Leo nimefuraishwa na kikosi cha kwanza japo ningependa bwana mdogo R.BARKLEY angeanza lakini Chelsea ushindi lazima tunapiga pass zaidi ya 700 Leo
Povu luksa

Mambo hayo
20180901_163619.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app pkease Change my Name to mkuu wa kaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom