eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Kazikazi J5
E&K
E&K
Sio mbali nipo na wewe mara mbili ndani ya week. Hapo ndo tutajua sarriball na gengenpressing ni ipi boraHivi mkuu bado hujakubali tu mpira wa Sarri. Au mpaka akufunge ndo uamini sarrball...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kimbunga cha Liverpool kinakuja kitazina moto na kuvunja daraja
Hii ambayo imetaabika mbele ya Leicester cityKuna kimbunga cha Liverpool kinakuja kitazina moto na kuvunja daraja
Sent using Jamii Forums mobile app
Luiz asipojiangalia atasugua bench, anafanya makosa sanaLuiz ni mzito kurudi, hata goli mojawapo la Arsenal Luiz alishindwa kukaba kwa saba alikaa nyuma ya mfungaji. Akibaki nyuma ni mzuri,
Top scorers wako wa last season ana magoli mangapi baada ya mechi 4?
Sent using Jamii Forums mobile app
Striker wenu Nani? Ana magoli mangapi?Ana 2 Goals! Je, Yeye Ni Striker?
Hapo sawa, hakuna wa kulaumiwa msimu huu hapo mbele, mwisho wa msimu mtamlaumu Klop ...4 seasons and counting ...Liverpool Haina Striker na Ndiyomana Tunacheza Formation ya 4 - 3 - 3. Hawa Watatu Wa Mbele Salah - Firmino - Mane Hapana Striker Kati yao Kwani Wote Ni Attacking Midfielders.