Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kutokana na mechi nne tulizochezwa mpaka sasa Rudiger na Luiz bado hawajaelewana vizuri wanaacha mapengo sana kule nyuma

Morata hatakiwi kuanza game kubwa....Giroud anatakiwa kuanza; ana nguvu kuliko Morata na anaonana na wenzake vizuri kiasi kwamba return pass kutoka kwake sio shida

Na return pass ndizo Pedro na Hazard wanapenda mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point. Nadhani Morata acheze dakika 10 za mwisho timu ikiwa inaongoza kwa goli 2 na kuendelea.
 
Kutokana na mechi nne tulizochezwa mpaka sasa Rudiger na Luiz bado hawajaelewana vizuri wanaacha mapengo sana kule nyuma

Morata hatakiwi kuanza game kubwa....Giroud anatakiwa kuanza; ana nguvu kuliko Morata na anaonana na wenzake vizuri kiasi kwamba return pass kutoka kwake sio shida

Na return pass ndizo Pedro na Hazard wanapenda mno

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa neno moja tu Giroud ni "aggressive" na Morata ni slow na sio creative kabisa.
 
Kutokana na mechi nne tulizochezwa mpaka sasa Rudiger na Luiz bado hawajaelewana vizuri wanaacha mapengo sana kule nyuma

Morata hatakiwi kuanza game kubwa....Giroud anatakiwa kuanza; ana nguvu kuliko Morata na anaonana na wenzake vizuri kiasi kwamba return pass kutoka kwake sio shida

Na return pass ndizo Pedro na Hazard wanapenda mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujakosea mkuu bado beki kati ya rudiger na Luiz ina matobo hasa Luiz simwamini kabisa
Kuna wakati alikuwa anaenda mpaka katikati ya kiwanja sijui nyuma huko alimwacha nani na ndio maana nasema tukikutana na team yenye counter attack yenye kasi tunafungwa kirahisi sana

E&K
 
Kutokana na mechi nne tulizochezwa mpaka sasa Rudiger na Luiz bado hawajaelewana vizuri wanaacha mapengo sana kule nyuma

Morata hatakiwi kuanza game kubwa....Giroud anatakiwa kuanza; ana nguvu kuliko Morata na anaonana na wenzake vizuri kiasi kwamba return pass kutoka kwake sio shida

Na return pass ndizo Pedro na Hazard wanapenda mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Morata pia bado sana nafikiri hajauelewa mfumo wa sarri
Giroud nafikiri hasumbuki sana kwa sababu pale Arsenal aliucheza Mpira wa pass kiasi

E&K
 
Hujakosea mkuu bado beki kati ya rudiger na Luiz ina matobo hasa Luiz simwamini kabisa
Kuna wakati alikuwa anaenda mpaka katikati ya kiwanja sijui nyuma huko alimwacha nani na ndio maana nasema tukikutana na team yenye counter attack yenye kasi tunafungwa kirahisi sana

E&K

Luiz ni mzito kurudi, hata goli mojawapo la Arsenal Luiz alishindwa kukaba kwa saba alikaa nyuma ya mfungaji. Akibaki nyuma ni mzuri,
 
Huu moto sijui utazimikia wapi
promo360086247_4408105.jpg


E&K
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom