eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Nitaununua
Wakati wengine mastaa wao ni Ronaldo na messi mimi starwangu ni hazard siku zote
E&K
Hazard is really good. Mimi kumponda Hazard labda atuletee shobo za CourtoisHiyo ndo hulka ya binadamu mkuu, kusifu chako.
Siku Hazard akiondoka ndo itakuwa mwisho yeye kuwa star wako.
Hata Giroud kipindi yuko Arsenal kuna watu walikuwa wanamwona kama star wao mpaka alipoondoka.
Hazard is really good. Mimi kumponda Hazard labda atuletee shobo za Courtois
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule hata aende wapi atabaki kuwa starHiyo ndo hulka ya binadamu mkuu, kusifu chako.
Siku Hazard akiondoka ndo itakuwa mwisho yeye kuwa star wako.
Hata Giroud kipindi yuko Arsenal kuna watu walikuwa wanamwona kama star wao mpaka alipoondoka.
kwangu tuYule hata aende wapi atabaki kuwa starkwangu tu
Hazard is really good. Mimi kumponda Hazard labda atuletee shobo za Courtois
Sent using Jamii Forums mobile app
Hazard Ni Mchezaji Mwenye Nidhamu Na Ndiyoma Hakuforce Move! Kwahiyo Kastay Calm Anasubiri Next Season Aondoke Bure Kimya Kimya Kwa Kusaini Pre-Contract Na timu aliyoitarget.
Ni Same Kwa Sadio Mane Yeye Ni Tofauti Na Coutinho! Mane Hajaforce Move lakini Hasajili Mkataba Mpya Bali Anasubiri Abakishe Mwaka Mmoja Asaini Pre-Contract Aondoke Kimya Kimya.
Hazard Ni Mchezaji Mwenye Nidhamu Na Ndiyoma Hakuforce Move! Kwahiyo Kastay Calm Anasubiri Next Season Aondoke Bure Kimya Kimya Kwa Kusaini Pre-Contract Na timu aliyoitarget.
Ni Same Kwa Sadio Mane Yeye Ni Tofauti Na Coutinho! Mane Hajaforce Move lakini Hasajili Mkataba Mpya Bali Anasubiri Abakishe Mwaka Mmoja Asaini Pre-Contract Aondoke Kimya Kimya.
Hazard mkataba wake unaisha June 2020, by then atakuwa almost 30years na atakuwa ameshaitumikia Chelsea misimu 8 ,hata akiamua kuondoka nafikiri itakuwa fair move kwa both sides na ataendelea kuheshimika japokuwa naona Hazard hana mawenge sana na swala la kuhama hama timu angelikuwa mchezaji mwingine angeshaondoka muda mrefuHazard Ni Mchezaji Mwenye Nidhamu Na Ndiyoma Hakuforce Move! Kwahiyo Kastay Calm Anasubiri Next Season Aondoke Bure Kimya Kimya Kwa Kusaini Pre-Contract Na timu aliyoitarget.
Ni Same Kwa Sadio Mane Yeye Ni Tofauti Na Coutinho! Mane Hajaforce Move lakini Hasajili Mkataba Mpya Bali Anasubiri Abakishe Mwaka Mmoja Asaini Pre-Contract Aondoke Kimya Kimya.
Hazard mkataba wake unaisha June 2020, by then atakuwa almost 30years na atakuwa ameshaitumikia Chelsea misimu 8 ,hata akiamua kuondoka nafikiri itakuwa fair move kwa both sides na ataendelea kuheshimika japokuwa naona Hazard hana mawenge sana na swala la kuhama hama timu angelikuwa mchezaji mwingine angeshaondoka muda mrefu
Courtois hatoki nchi hizo ila umeona ujinga aliofanya , sasa hivi anaanza kugombania namba kikosi cha kwanza na Navas , sometimes wachezaji huwa wanafanya maamuzi ya ajabu kweli .Sio Angelikuwa Mchezaji Mwengine! Bali Angelikuwa Ni Mchezaji Wa Latin America (Marekani Ya Kusini) Kama Brazil, Argentina, Mexico, Chile and the Likes Basi Huna Rai Ya Kumueka England Miaka 8 linapokuja Suala la Real & Barca au Sula la Hela Na Ndiyomana Wamekusanywa China pamona Na PSG inayocheza Shit League Kwasababu tu Wanalepwa Hela Ndefu.
Na huyo navas kaamua kukomaaaCourtois hatoki nchi hizo ila umeona ujinga aliofanya , sasa hivi anaanza kugombania namba kikosi cha kwanza na Navas , sometimes wachezaji huwa wanafanya maamuzi ya ajabu kweli .
Courtois hatoki nchi hizo ila umeona ujinga aliofanya , sasa hivi anaanza kugombania namba kikosi cha kwanza na Navas , sometimes wachezaji huwa wanafanya maamuzi ya ajabu kweli .
Jezi haina mvuto kwangu ni kama ile rangi ya njano!Nitaununua View attachment 858599
Hapo pacha mbili tatu zitafaa kwa faida ya wapinzaniInternational match View attachment 859340
