Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ya kuwapi??? Kelele nyingi..."ETI ANGEIFUNGA L'POOL..." Ashukuru mungu kata sub...koz hata kama angekaa mpaka mwisho asiingeambulia hata assist....
 
Wapi Masa??? MEIRELESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS....................Kimewaka..Told u since jana...leo mnapigwa...................na Bado....
 
Mi nakuomba hata useme chochote...koz sijui kama REV nad Peasant mpo....Mmedominate most of the 2nd half so far...and L'pool back 4 has been firm n strong to stop any moves.....Do u think they wont finish this JOB??????
 
AUrelio kawakosa...Lingekua la Pili......am still happy though.................
 
Wameonyesha Benchi la Chelsea wanavyotia huruma over wametangaziwa Msiba.....Matumaini ya Ushindi hayapo na sasa Mnaomba hata Draw na Mbao haitoshi.....TORES kafanya mistake ambayo ataijutia daima interms of H'ness....... ila financially najua atakua sawa sana..........
 
Namuomba REV MASANILO please ninakikao nae hahahaha mkuu jana alikuwa kwenye thread ya united leo hapa haonekani....haha
 
Ingekuwa Ref aliyechezesha Game yetu na N'castle angewapa Penalty pale...Koz jana alitoa Mbili za aina hiyo..........POLENI sana koz u r running out of tym..................
 
chelsea wamechoka hata wakikutana ashanti wanawezapata sare angalau
 
Namuomba REV MASANILO please ninakikao nae hahahaha mkuu jana alikuwa kwenye thread ya united leo hapa haonekani....haha

Jana nilimuambia akasema atakua hewani full...Keshajificha na simu Kazima.............
 
GAME OVER...........L'pool 1..Chelsea 0..........Point tatu safi...out of top four ni Liver tu kashinda this weekend...Hongereni sana...Hata hii moja kwa Nunge mi naona kama mmeshinda koz mlitakiwa kupigwa 4....................
 
Sikio la kufa halisikii dawa....mtoto akililia wembe mpe....haya leo kipigo mmepata na kulala mnaenda kulala......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom