Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Loris Karius Mukiongea na Liverpool Kwa Sasahivi Mutampata Kwa £7m anaweza Kuwasaidia Sana tu.
Kwanza Bado umri wake Ni Mdogo Ataboreka Zaidi.
Haina Haja Ya Kupoteza Mamilioni ya £ wakati Kipa Wa Bei Rahisi Yupo.
😀😀
We jamaaa acha utani na sisi aiseee
 
Dakika 59' minutes: Chelsea 0 - 2 Man City

Sasahivi Maurizio Sarri ataanza kukiona Kutoka Kwa Plastic Fans wenye hasira ambao tuliwaambia Sarri si Kocha Wakatubishia 😀😀😀
Hii comment naomba usiifute
 
Na ndio maana wanapambana abakie, Kotua kashasema hataki kubakia wanachelewesha kutoa majibu, Roman sijui ameingiliwa na nini

bifu la Russia na England limemuharibu huyu jamaa, kama vipi auze timu kwa wale wachina tu
Leo tumemnunu kipa kwa £71. Hii ni rekodi ya dunia nzima
 
Kikosi kakikuta na mchezaji aliyemleta sote tunakiri ni jembe, Jorginho. Tumpe muda kwa kweli.
Pia Barkley tumwangalie Sana msimu huu pamoja na Odoi. Hawa ni sawa na new signings kwenye timu
 
Vip huyo kovacic yupo vizuri? Binafsi mimi sijawahi mshuhudia
Ni kiungo mzuri sana
Kama nikipanga lineup yangu itakuwa kama ifuatavyo kwa mujibu wa mfumo wa kocha Sarri wa 4-3-3

Aspiliqueta, Christensen, Rudiger, Alonso
Katikati ni jorginho, Kante, Kovacic

Mbele ni Hazard, Giroud, Willian

Hiki ndio kikosi changu
 
Klopp imemchukua muda gani kuifanya Liverpool iwe ilivyo leo? Mm nimemkubali baada ya kuona vitu Fulani vipya kwenye hiyo mechi
Unampa kichwa bure tu Liverpool imetwaa ndoo gani msimu uliopita
Mafanikio ya team ni kutwaa hata kombe moja kila msimu
 
Loris Karius Mukiongea na Liverpool Kwa Sasahivi Mutampata Kwa £7m anaweza Kuwasaidia Sana tu.
Kwanza Bado umri wake Ni Mdogo Ataboreka Zaidi.
Haina Haja Ya Kupoteza Mamilioni ya £ wakati Kipa Wa Bei Rahisi Yupo.
😀😀
Hatununuagi rejects sisi
 
Unampa kichwa bure tu Liverpool imetwaa ndoo gani msimu uliopita
Mafanikio ya team ni kutwaa hata kombe moja kila msimu
Kweli, lkn ukiiangalia Liverpool ya kabla ya Klop ilikuwa ovyo kabisa baada ya miaka mitatu ndo mpira wa Klop unaanza kuonekana
 
Hakutakuwa na timu Ulaya nzima yenye viungo wa kiwango cha Kante, Joginho na Kovacic
IMG_20180807_212015.jpg
IMG_20180807_211807.jpg
 
Unampa kichwa bure tu Liverpool imetwaa ndoo gani msimu uliopita
Mafanikio ya team ni kutwaa hata kombe moja kila msimu


Kama Hukumfahamu Alichomaanisha Ulikuwa Umuulize...
Klopp Kakuta Kigenge halafu sasahivi Ndiyo Kama unvyomuona Ananunua Wachezaji ili Kugeuza Kigenge Kiwe timu...
Kwahiyo Bado Anatengeza Timu Kwa Kununuwa Wachezaji Wa Kuziba Nafasi Muhimu...
Akishamaliza Kutengeneza timu ndiyo uanze Kumjudge Kwa Kutokubeba Kombe.
 
Hakutakuwa na timu Ulaya nzima yenye viungo wa kiwango cha Kante, Joginho na Kovacic View attachment 829756View attachment 829757

Watu Wengine bhana! 😀😀😀
Kovacic Anayewarm Bench Real wewe unajisifia...
Na Huyo Joginho Average Player ambaye Ana Safari Ndefu Kufikia angalau Kiwango Cha Modric au Kroose tu wewe unajisifia? 😀
Joginho-Kante-Kovacic Eti Ulaya Nzima Hakutakuwa na viongo wenye viwango vyao! Kweli maajabu hayaishi... 😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom